Eti mwanaume mzima kabisa unachukua mizigo yako unahamia kwa mpenzi/mkeo unaenda kuishi huko na siku mkikosana unachukua nguo zako unasepa, wanaume wanazidi kupungua na kubaki wakiume huwa najiuliza kama wanaume wenyewe ndo hawa wa siku binti yangu ataolewa nani?.