mwalimumzalendo1
JF-Expert Member
- May 19, 2014
- 1,098
- 406
nakuja na posa kesho, halafu napendaje walimu
Sitaki kulea Mario mie
nakuja na posa kesho, halafu napendaje walimu
Nisome vizuri, nasema "matatizo hayo hayapo kwenye Uislam". Ukiona hata Muislam yanampata matatizo kama hayo ujuwe hajafata Uislam. Narudia, matatizo hayo hayapo kwenye Uislam.
Sitaki kulea Mario mie
we mi sio mario, futa kauli yako
Wee hutaki lelewa ntachukua mkopo afu wote nakupa
sitaki hata mia yako, zaidi ya penzi lako.
Waajabu ww hutaki pesa
Basi Mie kwangu Mie mapebz pesa
Mkuu wanaume wa aina hiyo nawajua sana, huwa hawana uhuru wa kujiamulia mambo. Kuna dada mmoja anaishi na aina ya mwanaume uliyemtaja, dada anajiweza na mzee wake ni tajiri, huyo dada nimesikia anachepuka na vijana aliwazidi umri tena bila kujificha! jamaa anajua ila anauchuna tu kwa kuwa yeye ni kula kulala.
Kama kuna wanaume wa aina hii hapa jf naombe wabadili mawazo hayo na waachane mara moja na maisha ya aina hiyo kwani yanaharibu asili ya mwanaume kuwa kichwa.
girl please! mie mwenyewe muislam na haya matatizo nayaona kila kukicha, hata kwa familia yangu yapo.
Nisome vizuri;
By FaizaFoxy
Nisome vizuri, nasema "matatizo hayo hayapo kwenye Uislam". Ukiona hata Muislam yanampata matatizo kama hayo ujuwe hajafata Uislam. Narudia, matatizo hayo hayapo kwenye Uislam.
hata kwenye ukiristo hayapo, sasa yapo wapi?