babamwenyenyumba
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 5,163
- 5,971
Hahaha nicheke mie na kitambi changu.
Inaweza kuwa ni kweli kwa jinsi ulivyoelezea kwa uchungu utafikiri upo labor lakini hii mi naiyona kama ni retaliation ya kejeli na vijembe kwa kile mwanaume walichokufanyia huko nyuma.
Jf tunatumia fake Id ndio maana unaonekana unajiamini sana which is not femine behavior eti oohh mume wangu yupo healthly na pesa ninayo..sasa aliyekuuliza maswali yote nani huyo..kama sio ubibi uchu huo
Suala la kupenda au kutokupenda morphology ya mtu mbona lipo more subjective kuliko wewe unavyofikili na wewe ni nani katika hii nchi mpaka uwasemehee wanawake wote mpaka wangu mimi ambaye anafurahia kibamia changu, weka picha yako tuione basi kibungo wewe...shame on you
Suala la sex umelielezea kinafiki na kimbea sana coz mbona utafiti wa kisayansi haujawai kusema belly fat inasababisha kuwa mchovu kitandani hizo theory zenu za kwa mtogole usizilete hapa jf halafu mbona nyie wanawake ndio mnamatatizo sana ya kujamiiana kuliko wanaume kuanzia sexual organs mpaka kihisia na sisi hatusemi
The good thing is we are the one who choose which is good and which is bad so it is none of you business
Chukua like hiyo mkuu