Wanaume shtukeni jamani, mwanaume halii

Wanaume shtukeni jamani, mwanaume halii

Mwanzo ni Mwisho

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2016
Posts
4,394
Reaction score
10,836
Wasaalam wakuu,

Bila kupoteza maana na wakati ipo hivi, nimefanya kautafiti kangu na halmashauri ya kichwa changu nimegundua kuwa siku hizi kwenye ulimwengu huu wa mapenzi hususani kwa vijana na mitindo yao kitandani; BRN, kamsutra n.k.

Lakini kwenye kautafiti hako vile vile nimen'gamua kwenye mapenzi hao kuna kuumizwa a.k.a kutendwa au tuseme kupigwa chini tu... Na kautafiti kananiambia watu wanaoongoza kwa kutemwa ni wanaume, yaani midume ya mbegu siku hizi utaikuta inalialia kisa mapenzi. Utasikia nishaurini huyu msichana simuelewi..

Sasa labda niulize kaswali; hivi kwanini siku hizi wanaume ndo wanongoza kuwa heart broken kwenye swala la mapenzi?

Nawasilisha....
 
Kwani nani halisema mwanaume alii? Wanaume naho wana isia na moyo wa nyama.
 
Ahhhhh wewe ni KE ama ni ME hizi tafiti zako ambazo hazina hata reference.. nenda karudie kuzifanya upya, hivi kuna kiumbe PRETENDER kama MWANAUME..... A man can do whatever it takes to get what he wants........Machozi ya mwanaume do not mean a thing.... He is up on something..........mission impossible but for a man can make it possible.....
 
Evelyn Salt: "achekae mwisho ..." au "mla mla leo ...".

Dunia haijabadilika kihivyo na ulimwengu wa sasa wa mtandao ni "dunia hadaa ..."
 
Ahhhhh wewe ni KE ama ni ME hizi tafiti zako ambazo hazina hata reference.. nenda karudie kuzifanya upya, hivi kuna kiumbe PRETENDER kama MWANAUME..... Aman can do whatever it takes to get what he wants........Machozi ya mwanaume do not mean athing.... He is up on something..........mission impossible but for aman can make it possible.....
wew unawasema ma playboi ndo wanafanya maigizo lkn kwenye mahusiano ya ukwl kabisa mwanaume ukipigwa chini utoe mchoz sasa, tafuta mwingine tu
 
Hayajakukuta bado...na wala sikuombei yakukute huenda wewe ndio ukawa hufai unalia barabarani..
 
Yaani nia aibu, wanaume jueni kuwa mapenzi ya isidingo yaliisha karne ya 20, siku izi unapata dem apa kesho mnatemana haina kwere songaa tafuta mwingine io ya kulialia na kubembeleza utaishia kuvutwa masikio.
Cheza na alama za nyakati leo wako kesho si wako mtakutana atakua wako tena ivo ivo ndo maisha yalivyi siku izi.
 
asee kwel kila post mwanaume katemwa yan cc ndo tunaongoza kutemwa NA MIMI MMOJA WAO LAKIN
 
huyo jamaa ajawah adhibiwa na neno penzi , refer to this song bonge la nyau ft barnaba sikia ile chorus ya barnaba ogopa dem kakutema tena kpnd umepata pesa wewe ukidhan ndo penz litaimarika kumbe ndo mwsho wake , same thng happened to me nilmpenda ila ckuwa na ktu nka hustle ili nimtunze vzur cz kanivumilia for more than 3yrz ile napata tu na yy akazngua sema nashuru alinipa akil ya kutafuta ela
 
Back
Top Bottom