wanaume piteni hapa....

wanaume piteni hapa....

Wanaume tumekuwa hatulidhishwi na mambo kadhaa wanayoyafanya wanawake, hasa katika mahusiano

Mambo gani hayo wanaume wasioridhishwa nayo?

Je wanaume hawana uwezo wa kuyarekebisha kwa nafasi yao ya uanaume?
 
Wanaume tumekuwa hatulidhishwi na mambo kadhaa wanayoyafanya wanawake, hasa katika mahusiano

THEN..kwa mfano wewe mwanaume unageuka na kuwa mwanamke a.k.a DEM ungeboresha, au badilisha nini katika mlolongo wa tabia za sasa za dadazetu (wanawake wa sasa)

Hebu tuambie wewe kwanza ungeboresha kitu gani?
 
Mh! hadi ujifanye mwanamke ndo utoe ushauri! hapana!! nasema hapana.
 
Mie ningejibadili na kuwa Sodabora kwanza..
Haa hivi mimi mwanamke 😉😱
 
Last edited by a moderator:
Jamani nna fanya wanawake kama kiumbe cha ajabu? kwani kweli so kidogo tuu fikirinii kama nusu saa tuu halafu mtarejea tena kifukra sio vitendo....
 
Mi ningekuwa mwanaume ningeacha ujinga na upunguani wa kushindwa kuelewa hoja/swali
 
Duuh haya matusi sasa!yaani kidume mie nijigeuze!!!
 
toka nizaliwe sijawahii tamanii kua mwanamke na sijawahii sikia mwanamke akisema anatmani kua mwanamke but nilishawahi kusikia wanawake wakisemaa angepata nafasi ya kua mwanamme wanawake wangemkomaa
 
Back
Top Bottom