Wanaume omba omba wa baa, acheni hizo

Wanaume omba omba wa baa, acheni hizo

Jogoo mbegu

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2023
Posts
824
Reaction score
3,456
Si kwa uchoyo ila inaleta kero sana, unakuta mtu una pesa kidogo kama elfu tano hivi, unasema ngoja nipitie baa hapo nipate hata vibia viwili vya kupatia usingizi niende nyumbani.

Ukiingia baa sasa unazingirwa na wakaa baa tena wengine na heshima zao, kuanza kung'ang'ania umununulie bia!!

Ndiyo jibu ni rahisi utamjibu sina hela ila sasa mpaka akuelewe ni maelezo mengi kama si kugombana.

Wakati mwingine unaweza rudia mlangoni ukicheki omba omba wa bia wanavyokukodolea macho wakingoja ukae waje anza kukupamba sifa za kindezi huku wakiomba bia😳😳.

Hii ni aibu sana, kama huna mia bora ukae home acha kukera watu.
Mtu unanunua kanyama choma nusu kamewekwa mezani tu, mtu huyo nae kuzuga na salamu mara katia fingers😂😂

Hawana heshima wala adabu tena sometimes mtu hata huna huusiano nae wa karibu.
 
Mi kuna moja huyo alivyo niona nimekaa tuu kwenye meza yangu pekeangu.
Nae huyu hapa kaja.
Basi nikiagiza Round basi na yeye nimpatie Story zake si maisha yangu.
Alipo nitibua nipale nimepokea Simu nikaenda pembeni kidogo kuongea narudi nakuta bia zangu kampa Muhudumu azibadilishe zikawa zake na kazifungua Dah...😂
Muda huo sija aga nabili sija lipa nikasepa zangu
 
Si kwa uchoyo ila inaleta kero sana, unakuta mtu una pesa kidogo kama elfu tano hivi, unasema ngoja nipitie baa hapo nipate hata vibia viwili vya kupatia usingizi niende nyumbani.

Ukiingia baa sasa unazingirwa na wakaa baa tena wengine na heshima zao, kuanza kung'ang'ania umununulie bia!!

Ndiyo jibu ni rahisi utamjibu sina hela ila sasa mpaka akuelewe ni maelezo mengi kama si kugombana.

Wakati mwingine unaweza rudia mlangoni ukicheki omba omba wa bia wanavyokukodolea macho wakingoja ukae waje anza kukupamba sifa za kindezi huku wakiomba bia😳😳.

Hii ni aibu sana, kama huna mia bora ukae home acha kukera watu.
Mtu unanunua kanyama choma nusu kamewekwa mezani tu, mtu huyo nae kuzuga na salamu mara katia fingers😂😂

Hawana heshima wala adabu tena sometimes mtu hata huna huusiano nae wa karibu.
Ni baa gani hizo unaendaga?, za vichochoroni au. Maana hadi unakutana na watu wa aina hiyo. Hiyo Sio baaa kwakweli. angalia usije ukakabwa huko wakiona umezidi uchoyo
 
Mi kuna moja huyo alivyo niona nimekaa tuu kwenye meza yangu pekeangu.
Nae huyu hapa kaja.
Basi nikiagiza Round basi na yeye nimpatie Story zake si maisha yangu.
Alipo nitibua nipale nimepokea Simu nikaenda pembeni kidogo kuongea narudi nakuta bia zangu kampa Muhudumu azibadilishe zikawa zake na kazifungua Dah...
Muda huo sija aga nabili sija lipa nikasepa zangu
He ukamwachia alipie?

Sent from my 2201117TG using JamiiForums mobile app
 
Si kwa uchoyo ila inaleta kero sana, unakuta mtu una pesa kidogo kama elfu tano hivi, unasema ngoja nipitie baa hapo nipate hata vibia viwili vya kupatia usingizi niende nyumbani.

Ukiingia baa sasa unazingirwa na wakaa baa tena wengine na heshima zao, kuanza kung'ang'ania umununulie bia!!

Ndiyo jibu ni rahisi utamjibu sina hela ila sasa mpaka akuelewe ni maelezo mengi kama si kugombana.

Wakati mwingine unaweza rudia mlangoni ukicheki omba omba wa bia wanavyokukodolea macho wakingoja ukae waje anza kukupamba sifa za kindezi huku wakiomba bia😳😳.

Hii ni aibu sana, kama huna mia bora ukae home acha kukera watu.
Mtu unanunua kanyama choma nusu kamewekwa mezani tu, mtu huyo nae kuzuga na salamu mara katia fingers😂😂

Hawana heshima wala adabu tena sometimes mtu hata huna huusiano nae wa karibu.
Naunga mkono hoja yako.
 
Aisee Ni Janga

Huku Kijitonyama ni wengi hatari mikocheni afadhali kidogo….mi ndio maana kwenye bar / liquor store sipendi mazoea / ushkaj na mtu ambae hata kimuonekano unaona kabisa kapuku huyu….kazi kuomba omba tu.

Asa mtu hata kununua beer 5 huwezi what life information and challenge can u offer me ??

YES kuna watu tunalewa nao huoni taabu kumtia hata beer 5 cz wao pia kuna nyakati zingine wana sort so lazima na wewe someday ulipe fadhila……hivyo yani. Nishawahi kuwa liquor store moja mikocheni nikawalipia beer some friends za kama 120k hivi tena wala sikuwaza cz nikiwa nao at tyms wanapiga sana round za beer hivyo cz ni ushkaji wenye tija na maongezi nikiwa nao ni quality talks the same issue kwenye mambo ya pork…..

Mtu kama bar haezi afford hata 10k ya beer kadhaa sio mwana huyo kataa kabisa mazoea.

Mtu umevuta bucket 2 za washkaj unashangaa linakuja punga moja huko linakuja kuchukua tu afu unajua kabisa punga hili halijawahi changia bill hata siku moja.

Kuna mmoja nishai mtolea uvivu wana wakawa wanachekea pembeni bora nikuchane ubadilike ili ujue kupambania starehe zako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom