kosa sio kurudia kosa. Yeye katoka njee na kasamehewa. Sasa ngoma imegeuka shughuli kweli hapo. Hebu tusamehane jaman hivi leo tuko hai tunashindwa kusameheana na mungu kasema samehe mara 70 na ukiangalia kosa la kwanza bado ananafasi 69 hahahah you meen kill us aseee. Yani siku moja mungu angefanya wanaume muwe wanawake na sie tuwe wanaume nadhani mngeelewa kiasi gani tuna huruma na tunavyo pata shidaa kuhakikisha familia iko poa. We ukirud aaah unauliza chakula na wakati wote wafanya kazi
Mmmh hilo ulofanya unaona hta aibu kulisema
Akubali tu
Shemeji usimpoteze mwenzio,tuna gharama eti.Mwanaume hasumbui akili yangu,,,,,,, wako maelfu msamaha wa mtu mmoja usikupe tabu....