hawa watu nikuwaacha tu kama walivyo...
Pole mwaya
Baadhi ya wanaume wanadhani wakisamehe nguvu zao zitapungua
kama anapiga moja si apewe, asubuhi mchana na jioni
Kwa nini kaka? Natamani sana kujifunza kutoka kwakoNinge pata mke kama wewe ninge furahia maisha na ningefanya juu chini nic kuhudhi ..
Jamani nyie wanaume embu jaribuni kutusamehe na sisi tunapo kosea.
Mbona nyie mkikosa tunawasamehe mnadhani tuna moyo wa plastik.
Sasa mbona mnatutesa hivi nikikosa na kwambia sasa ni shidaaa daaah hebu basi jaribu kufikiria japo yale mazur tuliofanya pamoja na mema niliokufanyia, ile tym hauna kitu nilipokutoa, ile tym umegombana na watu mie ndo nakupokea na kukufariji.
Sasa mbona sasa zamu yangu hata kunisamehe jamani.
Duuuuhh
Ha ha hA kutakuwa kutiana genye tu
asaidikeje sasa
We Tina wewe, hujasimamiwa kucha wewe
mi kwakweli hata sokoni nitagalagala chini kumuomba msamaha