Wanaume nyie

Wanaume nyie

kusamehewa hakulazimishwi mbona kama joto limepanda???
 
kama ulimpa papuchi yake mwingine hata kusamehe ni ngumu kidogo labda kama alikuwa anapiga bao moja
 
Jamani nyie wanaume embu jaribuni kutusamehe na sisi tunapo kosea.

Mbona nyie mkikosa tunawasamehe mnadhani tuna moyo wa plastik.

Sasa mbona mnatutesa hivi nikikosa na kwambia sasa ni shidaaa daaah hebu basi jaribu kufikiria japo yale mazur tuliofanya pamoja na mema niliokufanyia, ile tym hauna kitu nilipokutoa, ile tym umegombana na watu mie ndo nakupokea na kukufariji.

Sasa mbona sasa zamu yangu hata kunisamehe jamani.

Duuuuhh


Jina lako linamaanisha mengi sana, pole sana Totoz, huko mnakochepuka kuna mitaro sana mkumbuke breakdown just in case!
 
Last edited by a moderator:
Na ukiona mwanaume anakusamehe wakati umefanya kosa la kumsaliti ujiandae kwa yote.,
 
Jamani nyie wanaume embu jaribuni kutusamehe na sisi tunapo kosea.

Mbona nyie mkikosa tunawasamehe mnadhani tuna moyo wa plastik.

Sasa mbona mnatutesa hivi nikikosa na kwambia sasa ni shidaaa daaah hebu basi jaribu kufikiria japo yale mazur tuliofanya pamoja na mema niliokufanyia, ile tym hauna kitu nilipokutoa, ile tym umegombana na watu mie ndo nakupokea na kukufariji.

Sasa mbona sasa zamu yangu hata kunisamehe jamani.

Duuuuhh

cc
Nelson mandela
 
Last edited by a moderator:
Mmmh hilo ulofanya unaona hta aibu kulisema
 
kuna baadhi ya watu somo la msamaha walipata F na somo la unyama walipata A sasa ww unategemea atatoa wapi msamaha wa kukusamehe
 
Mwanaume hasumbui akili yangu,,,,,,, wako maelfu msamaha wa mtu mmoja usikupe tabu....
 
Jamani nyie wanaume embu jaribuni kutusamehe na sisi tunapo kosea.

Mbona nyie mkikosa tunawasamehe mnadhani tuna moyo wa plastik.

Sasa mbona mnatutesa hivi nikikosa na kwambia sasa ni shidaaa daaah hebu basi jaribu kufikiria japo yale mazur tuliofanya pamoja na mema niliokufanyia, ile tym hauna kitu nilipokutoa, ile tym umegombana na watu mie ndo nakupokea na kukufariji.

Sasa mbona sasa zamu yangu hata kunisamehe jamani.

Duuuuhh

Yapo aina ya makosa.
 
wala asikupe headache, endelea na ustaarabu wako kama hayupo vile. it works for me
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom