Totoz
Member
- Jan 27, 2013
- 99
- 18
Jamani nyie wanaume embu jaribuni kutusamehe na sisi tunapo kosea.
Mbona nyie mkikosa tunawasamehe mnadhani tuna moyo wa plastik.
Sasa mbona mnatutesa hivi nikikosa na kwambia sasa ni shidaaa daaah hebu basi jaribu kufikiria japo yale mazur tuliofanya pamoja na mema niliokufanyia, ile tym hauna kitu nilipokutoa, ile tym umegombana na watu mie ndo nakupokea na kukufariji.
Sasa mbona sasa zamu yangu hata kunisamehe jamani.
Duuuuhh
Mbona nyie mkikosa tunawasamehe mnadhani tuna moyo wa plastik.
Sasa mbona mnatutesa hivi nikikosa na kwambia sasa ni shidaaa daaah hebu basi jaribu kufikiria japo yale mazur tuliofanya pamoja na mema niliokufanyia, ile tym hauna kitu nilipokutoa, ile tym umegombana na watu mie ndo nakupokea na kukufariji.
Sasa mbona sasa zamu yangu hata kunisamehe jamani.
Duuuuhh