asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
wanaume ni choko sana
unakuta anakwambia baby tufanye mpango nikupeleke kwetu nikakutambulishe
SHIKA SIMU YAKE UNAKUTA KAWAAMBIA KAMA 7 HIVYO HIVYO
Nmepata idea, maana nna wadada 3 wana ujauzito wangu, kwenye suala la majina umenisaidia, asante sana mleta uzi.
Alafu wanatuuliza mbona hatuolewi tunaogopa kupigwa mabomu
Jamaa mmoja ambaye ametangulia mbele za
haki, alikuwa na michepuko kadhaa, na baadhi
yao kumbe alishazaa nao. Inaelezwa kuwa
jamaa alikuwa jumla na watoto 6 wa nje ya
ndoa, kila mmoja akiwa na mama yake. Wanne
kati ya hao walikuwa wakike, na wote aliwaita
Doreen. Sawa na binti yake wa kwa mke wa
ndoa. Jamaa baada ya kufariki, wazazi wenzie
nao wamejumuika msibani, basi vilio ni kwa
kwenda mbele, kila mmoja analia "weeeee baba
Doreen weeee". Mke wa ndoa na watu wa
karibu wakajua ni Doreen wa mke wa ndoa.
Ila sasa, kila watu wa karibu wakipepesa
macho, wanashangaa, mbona hawa wala sio
wa mtaani kuwa wanamjua baba Doreen? Si
wakajitosa kuuliza!! Ndipo yakaja julikana ya
kuwa kumbe Doreen anayetajwa sio wa hapo
nyumbani msibani, bali ni kina Doreen wengine
ambao wako wanne na kila mmoja ana mama
yake!! Watu wameshikwa butwaa, mama Doreen
wa kwenye ndoa, taarifa zilipomkuta naye
kazimia. Shughuli za maziko zimesimama kwa
muda sasa.
Jamani....... kweli huku michepukoni
kunatufunza ujanja mwingi, ijapo mwishowe
ndio kuumbuka namna hii.
wanaume ni choko sana
unakuta anakwambia baby tufanye mpango nikupeleke kwetu nikakutambulishe
SHIKA SIMU YAKE UNAKUTA KAWAAMBIA KAMA 7 HIVYO HIVYO
Ukiona mnyoya keshaliwa kwa mkopo huyo. Hahahahhahaa chezea baba Doreen wewekwaio na baba yako pia ni choko.?
unajua neno choko linamaana gani.? au ndio jazba inatawala akili zako.
Hahahahahahahaaaaaaa......JF haichoshi miaka 100....Nmepata idea, maana nna wadada 3 wana ujauzito wangu, kwenye suala la majina umenisaidia, asante sana mleta uzi.
Siku nyingine usituvulie kofia. Tuvulie chupi tufanye kazi yetu.
Marahaba. Week end nitakuja kumuona mtoto wangu naomba usitoke....hii inankumbuasha rafiki yangu judy.
bwanake marehemu ngapasa anamwambia amfanyie assignment ana kazi katumwa na baba yake kumbe yupi njiani anamrudisha dem dom baada ya kutanua weekend.
don kafika salama kurudi ajali wenzako hata bruises hawana yeye kafariki.
Msibani madem watatu wote wanamlilia ngaps simu sare kila akinunua kitu ananunua anapeleka aehwmu tatu.
Nyie ndo wanaume bana !!!
shikamooni
Hivi kwa kukubali kudanganywa na machoko, nikisema wanawake ni machoko plus nitakuwa nimekosea?wanaume ni choko sana
unakuta anakwambia baby tufanye mpango nikupeleke kwetu nikakutambulishe
SHIKA SIMU YAKE UNAKUTA KAWAAMBIA KAMA 7 HIVYO HIVYO
si ni mpaka upate watoto wa jinsia moja
Sasa msimamishe msiba ili mfanyaje? mumuulize maiti?.....busara ni kuzika kwanza mambo mengine baada ya kuzika....hao waliowauliza hao kina mama Doreen yupi nao wambea kupita maelezo.....there is nothing new under the sun.....