Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
I'm back my Heaven on earth....u hali gani weye...
Heaven on earth huyu mwana mpotevu Vin Diesel kafufukia wapi au ndie mhusika wa hii story nini maana kuna kipindi aliaga anaenda mtwara isije kuwa ni yeye
Mr Rocky hahaa malizia kuisoma basi hii storiHeaven on earth huyu mwana mpotevu Vin Diesel kafufukia wapi au ndie mhusika wa hii story nini maana kuna kipindi aliaga anaenda mtwara isije kuwa ni yeye
Mmmmhhhhh ndo akome.....sisi tunakariri sana eti usipompa mwanaume ndo atakuoa haraka.Nani kasema hayo!!!!
Mbinu zipo nyingi.....wakat mwenzio anasubir,yupo anayemgegeda ila kwako atasubir coz lengo ni kukamilisha ratiba/list.
No Mr Rocky, umeme ulikatika bana! Haya nimeshamalizia!!!!!!!!
Mie mzima,am glad that your back maana tangu nianze kukusikia ni kitambo sana
uwiii charminglady kumbe ndio mwisho wake ulikuwa hivo........
na siku hizi wakaka wanakuja na gia ya kuoa ukiingia kichwa kichwa umeliwa mkenge
Mashetani huwa wanakuwa na uhusiano na mashetani wenzao, sasa kama wewe ni binadamu ya nini kudeal na viumbe ambao si Kingdom yako? Na ukiona hawakupi usingizi kwa kuwainulia miguu yote miwili basi tambua na wewe ni mwenzao.Wanaume ni mashetani hata wakiinuliwa miguu ni kazi bure!
ha ha haaa penye moto mwaga petrol
Hahahaha....Mr Aman aka Mr Rocky...
Mkuu Vin Diesel habari za masiku bana
Umepotea sana aise nikajua mhusika wa story hapa ni wewe maana uliaga unaenda mtwara
Ila kwa wadada ukituringia sana naingia na gia ya kukuoa mwisho unaishia kama wa dada yetu hapa Heaven on earth mwambie Ngalikihinja huwa unanimiss bana asiweke kinyongo moyoni
Unanitisha sasa....umeyasikia yapi tena yanayonihusu Mtumishi wa Mungu....
charminglady ana mambo yake naaona siku hizi kaamua kuja na visa vya mtaani kwao na inaekelea mtaa wao una visa balaaHehehe....mie nilifuata gesi jomba.....naona charminglady kaamua kukulipua kwa ulichomfanya dada tumaini....
Na wengi wanaofikia hayo ni wale wa kujiona keki kumbe mihogo tu...Acha kabisa na Maneno ndio keshaoa ila Tumaini bado anahesabu list tu... Hakuna hata wa kumtania kuwa ataka kumuoa na kwa bahati mbaya ndio huyoooo anakimbilia menopause. Saiv anatafuta mwanaume wa kuzaa naye make anaona ndoa ndio ishaota mbawa!!!!!!!!!!!!
Acha kabisa na Maneno ndio keshaoa ila Tumaini bado anahesabu list tu... Hakuna hata wa kumtania kuwa ataka kumuoa na kwa bahati mbaya ndio huyoooo anakimbilia menopause. Saiv anatafuta mwanaume wa kuzaa naye make anaona ndoa ndio ishaota mbawa!!!!!!!!!!!!
Acha kabisa shost yaan ni bonge la msala!!! Vipi kwako ahawajaja kwa hiyo gia?????
haaa ya kawaida tu jamani,nilikusikia kwa huyu wifi wangu anaitwa Lady doctor
mtumishi wa mungu ndani ya nyumba