Wanaume ni dhaifu kuliko wanawake! Nani anabisha?

Wanawake ni bora maana wao kituo cha polisi chao ni KILIO ,akipata raha sana ama shida sana kilio ndo namba moja
2.wao hata wawe wengi wanaweza kuolewa na mume mmoja tu .mfano king mswati kule swaziland
3.TEmbelea casino au mitaa ya dar usiku ndo utajua kuwa wana.ke ni wenye udhaifu au ni nguvu
4.ni wanaume au m.ke wanaowezeshwa?kwani mwenye kuwezeshwa huwa hawezi .by
 
In aggregate, mwanaume ni bora zaidi kuliko mwanamke. Lakin kwa baadhi ya àspects mwanamke ni supa zaidi. Mafano kwenye mapenzi, ni eneo pekee ambalo women gain their master while men loose their master. Hili halina ubish, nakubali. Nitakapo k ya wife nakuwa mpole sana, sifurukuti, nikimaliza tu udume unaanza.
 
Tatizi ni mke kugawa nje. Mwanaume lazima akili ihamie kwingine. Wake wa mujini ni balaa tupu.
 
Hakuna udhaifu huwa ni maamuzi tu! Mwanaume yupo strong sana hata kawe katoto angalia hata jogoo alivyo noma cheki hata mabeberu au dume la ng'ombe jinsi ya me ni noma mungu kaipendelea! Mwanamke ni mnyenyekevu kwa mwanaume si kwamba eti ana busara kuliko mwanaume!



Mwanamke ni kiumbe dhaifu sana hamna anachoweza kufanya bila ya mwanaume... na ndio maana kuna kauli mbali mbali za kuwabust ili msibaki nyuma sanaaa na kuendelea kuwa kipozeo cha wanaume mpaka karne hii.
Nothing you can do without us.. hivi hizo kauli mbiu za ladies first, mkiwezeshwa mna weza... hamuoni zipo kwa ajili ya kuwa bust tu. Kiukweli women will always remain to be a small part of men. Nyumba ndogo na wengine tuna kuwa nao kwa muda, wapo pale kwa ajili ya haja zetu ndogo ndogo tu. Wanaume hatudanganyiki bwana but nyie mnadanganyika, sasa how comes tukawa dhaifu kwenu...???!!


nb: aliesema tumeisha pata uhuru sasa, wanawake muende mkalime na kufuga mifugo. Hakukosea kabisa kwani nyie dhaifu mpaka basi and that why you cannot be trusted in any thing.

I used to hear kuwa wanawake mna akili mbili tu ya kula na kuvuka barabara.. hahahh hhahh!!!!! am beginning to find it true.

Vivaaaaa wanaume..
 
At a molecular level its very true women are stable than men, just have a look at this.
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1377527844290.jpg
    uploadfromtaptalk1377527844290.jpg
    33.9 KB · Views: 83
kweli baana huwa hayajitambui hata siku moja yakishikwa ndevu tu yanalainika hata hm hayakumbuki,ila tahadhari wake kujisahau au kujifanya wapo bizzy like wao ndio baba ndani ya nyumba sio nzuri mtapoteza waume jichunguzeni tena nyumba ndogo kila siku ni wapya hawachuji mke ukishajizalia katoto kamoja tu kosa utanuka mikojo wewe maziwa wewe huna tyme na mume vikao vya kitchen party wewe unaitwa mama shuhuli mtaani sio vema
 
Aliniambia tu kuwa na mimi wantafuta...

Hahahahahaahahaaaa!!!!!WAtu8,umenifanya nicheke sana, alikwambia nakutafuta?kwani mimi nikikuhitaji siwezi kukutafuta?
itabidi nimtafute Bujibuji maana inawezekana kakosea.
 
Hahahahahaahahaaaa!!!!!WAtu8,umenifanya nicheke sana, alikwambia nakutafuta?kwani mimi nikikuhitaji siwezi kukutafuta?
itabidi nimtafute Bujibuji maana inawezekana kakosea.

Hahahahah....haya ngoja nisubirie kutafutwa nawe eenh baada ya kumtafuta Bujibuji

Btw swalama lakini?
 
Back
Top Bottom