Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Ha ha ha..... Uvinza si ipo kigoma,
Afu Kigoma si ndo mwisho wa reli,
Kwa hiyo uvinza ni Kigoma,
Yaani Uvinza= Mwisho wa reli
Basi kuna umuhimu wa kwenda mwisho wa reli!
Ha ha ha ..... mathematicians nitengenezeeni equation basi!
Equation sio hesabu tu ni logic!