mdida
JF-Expert Member
- Jul 14, 2011
- 1,607
- 777
inatakiwa usikubali tena akija arudie getini, ila bidada inatakiwa uwe na uhakika kuwa kweli alikuwa na kimwana mwingine na huyo bi mdogo ndie alisababisha utukanwe maana yawezekana jamaa alikuwa na stress ambazo kwa namna moja au nyingine alihitaji ukaribu wako then wewe unakona amenyuti ukafikiri ana kimwana mwingine.