Wanaume naombeni jibu

Wanaume naombeni jibu

inatakiwa usikubali tena akija arudie getini, ila bidada inatakiwa uwe na uhakika kuwa kweli alikuwa na kimwana mwingine na huyo bi mdogo ndie alisababisha utukanwe maana yawezekana jamaa alikuwa na stress ambazo kwa namna moja au nyingine alihitaji ukaribu wako then wewe unakona amenyuti ukafikiri ana kimwana mwingine.
 
Hapa sina cha kuchangia kwani katika xperience yangu sikumbuki kama nimewahi kuachana na GF wangu hata mmoja ila ni mambo tofauti tofauti tu yanayotufanya tuwe mbali mbali na mara zote kila nikikutana na wa zamani huwa milango iko wazi kukumbushia au kuendeleza mahusiano kutegemea na wasifu wa muhusika kwa wakati huo.Kwa hiyo huwa ninaona wanaowakashifu wapenzi wao baada ya kuachana ni kama vile wanajipunguzia eneo la mawindo..

Alaah....Sikuwa najua kama ndio hivyo
 
Mh...!!! Mzee mzima sijui nitajiteteaje leo..?? Ngoja kwanza nilipeleke suala hili mahakamani ili iwe vigumu kulijadili...

Afadhali uje uku tuyamalize kiutu uzima....huko mahakamani utashindwa tu. Hiyo ni uhakika mia kwa mia.
 
Afadhali uje uku tuyamalize kiutu uzima....huko mahakamani utashindwa tu. Hiyo ni uhakika mia kwa mia.



Najua nitashindwa lakini mahakama itanisaidia kuvuta muda si unajua suala likishafikishwa mahakamani halijadiliwi na linaweza kukaa mahakamani hata miaka kumi...hahahahaha
 
  • Thanks
Reactions: LD
anatuma msg au anapiga kabisa tena anavizia akiwa na huyo bi mdogo, utasikia sauti ya kike " mwambie kuwa humtaki tena uko na mm" mmmmmmmmmmh ilibidi nikae kandoooo
 
huyo anataka uchi wako tu thus why anakuomba msamaha,chezea man ww
 
Habari zenu wana JF.

Hili jambo linanitatiza sana, nimeona leo niliweke hapa ili niweze jua na kupata pia mawazo yenu, mwanaume akipata gf mpya anamtusi yule wa zamani, tena baada ya muda anarudi kuomba samahani eti muendelee na mahusiano kama hapo awali, hv huwa mnakosa nini huko mlikokwenda na kurudi tena mlikotoka? hebu nisaidien jamani mm kwangu imekuwa hvyo, kila nikiachana na bf lazima atarudi tu kuomba samahani ili tuendelee haijalishi ni muda gani umepita.

Na hao ma bf wazamani wakirudi unawakubali? Chunga sana watakuletea gonjwa baya aka UKIMWI!
 
Through uzoefu, wapenzi huwa hawaachani haaaaaata!! Ila tu hitilafu ndiyo hutokea ndiyo utakuta matusi, kashfa nk. Kama wewe unafikri kuna kuachana unadhani kwa nini huwa wanarudi? Na nadhani wakirudi huendelea kujimuvuzisha nao, si ndiyoeee! Pia fahamu kuwa kule alikokuwa pia hajaacha ila ni pause tu la muda au mtakuwa mnapangiwa ratiba tu na kote mtaendelea kuichakachua ile amri MOLA wetu inayokataza UZINZI.

WARNING: UZINZI NA UASHERATI NI HATARI KWA MAISHA YAKO YA DUNIAN NA AKHERA PIA.
 
inatakiwa usikubali tena akija arudie getini, ila bidada inatakiwa uwe na uhakika kuwa kweli alikuwa na kimwana mwingine na huyo bi mdogo ndie alisababisha utukanwe maana yawezekana jamaa alikuwa na stress ambazo kwa namna moja au nyingine alihitaji ukaribu wako then wewe unakona amenyuti ukafikiri ana kimwana mwingine.



kawaida ukiwa na mpenzi wako lazima awe anapajua nyumbani, na sisi wanawake tukipenda tumependa kweli, so mwenzio unamwonyesha kwako baadae anakugeuka tena na inakuwa kero, kwa kawaida nikiamka tu asbh saa 11 nakwenda kuoga ili nijiandae kwenye kazini namkuta kalala mlangoni kwangu na ninampita kama simjui. nimeshamwonyesha kila dalili na kutotaka tena kurudiana nae na ikafikia hatua akipiga simu nampa mwanaume yeyte tu apokee ili akate tamaa laki waaapi mwendo ni ule ule.
 
Through uzoefu, wapenzi huwa hawaachani haaaaaata!! Ila tu hitilafu ndiyo hutokea ndiyo utakuta matusi, kashfa nk. Kama wewe unafikri kuna kuachana unadhani kwa nini huwa wanarudi? Na nadhani wakirudi huendelea kujimuvuzisha nao, si ndiyoeee! Pia fahamu kuwa kule alikokuwa pia hajaacha ila ni pause tu la muda au mtakuwa mnapangiwa ratiba tu na kote mtaendelea kuichakachua ile amri MOLA wetu inayokataza UZINZI.

WARNING: UZINZI NA UASHERATI NI HATARI KWA MAISHA YAKO YA DUNIAN NA AKHERA PIA.


Alaah kumbeee!mnapause huku mnarudi huku! nimekupata kaka yangu asante sanaa i ddnt know that.huwa sina muda wa kurudiana nao coz muda ambao wanarudi nakuwa nimeshapata muda mwingine
 
Habari zenu wana JF.

Hili jambo linanitatiza sana, nimeona leo niliweke hapa ili niweze jua na kupata pia mawazo yenu, mwanaume akipata gf mpya anamtusi yule wa zamani, tena baada ya muda anarudi kuomba samahani eti muendelee na mahusiano kama hapo awali, hv huwa mnakosa nini huko mlikokwenda na kurudi tena mlikotoka? hebu nisaidien jamani mm kwangu imekuwa hvyo, kila nikiachana na bf lazima atarudi tu kuomba samahani ili tuendelee haijalishi ni muda gani umepita.

Hapo kwenye red dada! Chunga virusi, Utakufa. Inaelekea kutoa tundi kwako ni kawaida sana
 
Na hao ma bf wazamani wakirudi unawakubali? Chunga sana watakuletea gonjwa baya aka UKIMWI!


sina time nao na sijawahi rudiana na mtu niliachana nae kwani wakirudi huwa wananikuta na bf mpya, bt mm naona ni usumbufu sana kwangu
 
Hao wanakurupuka, hawakufikiri kabla ya kutenda, ukisha hamisha majeshi haupaswi kurudi nyuma, utakuwa umelamba matapishi yako mwenyewe.


Kweli kabisa kamanda wangu'mimi sijawahi kwenda mbele halafu nirudi nyuma nikosonga nasonga tu
 
Mimi sijawahi kugeuka jiwe yaani kuacha mwanamke na baadaye kurudi kuomba msamaha. Tusubiri wenye uzoefu huo waje watujuze.
 
Alaah kumbeee!mnapause huku mnarudi huku! nimekupata kaka yangu asante sanaa i ddnt know that.huwa sina muda wa kurudiana nao coz muda ambao wanarudi nakuwa nimeshapata muda mwingine

sasa huyo sio mwanamume huyo ni yuleee...GUME GUMEE.. muulize ADJA SHABA...atakupa sumu ya ilo njemba umempa kidogo kalewa je ukimpa yote si atakua HAYATI huyo..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom