Wanaume naombeni jibu

Wanaume naombeni jibu

MADIDINGWA

Senior Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
118
Reaction score
15
Habari zenu wana JF.

Hili jambo linanitatiza sana, nimeona leo niliweke hapa ili niweze jua na kupata pia mawazo yenu, mwanaume akipata gf mpya anamtusi yule wa zamani, tena baada ya muda anarudi kuomba samahani eti muendelee na mahusiano kama hapo awali, hv huwa mnakosa nini huko mlikokwenda na kurudi tena mlikotoka? hebu nisaidien jamani mm kwangu imekuwa hvyo, kila nikiachana na bf lazima atarudi tu kuomba samahani ili tuendelee haijalishi ni muda gani umepita.
 
sasa dada unajuaje kama alikuwa anakutusi huko alikokuwa?
 
Ukimuona mtu anamtusi x wake hafai
 
Hao wanakurupuka, hawakufikiri kabla ya kutenda, ukisha hamisha majeshi haupaswi kurudi nyuma, utakuwa umelamba matapishi yako mwenyewe.
 
Huyo ni limbukeni mwanamme mtaalam atahakikisha anawahandle wote mpaka atakapoona nani anamfaa ndo anatema mmoja,

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Habari zenu wana JF.

Hili jambo linanitatiza sana, nimeona leo niliweke hapa ili niweze jua na kupata pia mawazo yenu, mwanaume akipata gf mpya anamtusi yule wa zamani, tena baada ya muda anarudi kuomba samahani eti muendelee na mahusiano kama hapo awali, hv huwa mnakosa nini huko mlikokwenda na kurudi tena mlikotoka? hebu nisaidien jamani mm kwangu imekuwa hvyo, kila nikiachana na bf lazima atarudi tu kuomba samahani ili tuendelee haijalishi ni muda gani umepita.

Mwanaume wa aina hiyo ni mshamba, alijua labda nyama huwa tofauti as mabucha yalivyo tofauti, sasa akigundua kuwa nyama ni ile ile ndo anakuja tena kukuomba msamaha, huyo ni GUBEGUBE na si mwanaume
 
Hapa sina cha kuchangia kwani katika xperience yangu sikumbuki kama nimewahi kuachana na GF wangu hata mmoja ila ni mambo tofauti tofauti tu yanayotufanya tuwe mbali mbali na mara zote kila nikikutana na wa zamani huwa milango iko wazi kukumbushia au kuendeleza mahusiano kutegemea na wasifu wa muhusika kwa wakati huo.Kwa hiyo huwa ninaona wanaowakashifu wapenzi wao baada ya kuachana ni kama vile wanajipunguzia eneo la mawindo..
 
  • Thanks
Reactions: LD
Hapa sina cha kuchangia kwani katika xperience yangu sikumbuki kama nimewahi kuachana na GF wangu hata mmoja ila ni mambo tofauti tofauti tu yanayotufanya tuwe mbali mbali na mara zote kila nikikutana na wa zamani huwa milango iko wazi kukumbushia au kuendeleza mahusiano kutegemea na wasifu wa muhusika kwa wakati huo.Kwa hiyo huwa ninaona wanaowakashifu wapenzi wao baada ya kuachana ni kama vile wanajipunguzia eneo la mawindo..

We ni mzee wa mtandao!
 
Kweli kupata ukimwi ni rahisi............
Yaani kaenda kuchovya kwengine kakutusi halafu anarudisha majeshi na wewe unamanua kama kipago cha manati,
Utaletewa aliyoyakomba atokako, uwe na msimamo .........................
 
Back to topic,tunarudi baada ya kukumbuka maujanja yenu tuliponanihiu.Lakini,kutusi si vyema.Ukitaka,usionyeshe kila kitu kila siku...
 
pole sana kama umepatwa na mkasa huo
kwaupande wangu jibu ni kwamba swala la mapenzi liko pande zote hata wasichana hurudi tena nakuomba msamaha cha kufanya ni kabla hujawa na mahusiano na mtu yoyote muombe MUNGU akufumbulie kuhusu mtu huyo kwani naamini kabisa atakufumbulia
hata mm mwenyewe nimefanikiwa kwa njia hiyo
NB; unaweza ukafumbuliwa na majibu yakawa negative usiforce kubaliana na majibu hayo
 
Asante kaka kwa ushauri wako, nitamwomba mungu anifumbulie
 
ok, hafai, why unarudi tena kuomba samahani ili mahusiano yaendelee kama zamani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom