Wanaume na wanawake wazinzi mtanasa tu

Wanaume na wanawake wazinzi mtanasa tu

para panda

Member
Joined
Jul 16, 2018
Posts
14
Reaction score
10
Ndugu zangu ambao mna husudu uzinzi amini nakwambia,utavaa kondomu,utachukua tahadhali zote lakini ukiwa umebobea kufanya ngono lazima utaenda peku tu siku moja na utanasa.kwa hiyo kondom haitokusaidia utanasa tu cha msingi acha zinaa
 
Am not like them... am unique with special codes...

Hakuna kulala, hata kama hujala......
HIV unayo hata kabla hujabanjuka walishakuwekea zamani wanasubiri kuuactivate tu


Piga kavu tu mama hata kama utatumia domu kama walishakuwekea utaupata tu
 
na wewe ambae sio mzinzi ujue utanasa tu,kwenye kisukari au kansa then bandiko lako halitokuwa na maana yeyote,kumbuka kuwa kilio hakifiwi!
 
HIV unayo hata kabla hujabanjuka walishakuwekea zamani wanasubiri kuuactivate tu


Piga kavu tu mama hata kama utatumia domu kama walishakuwekea utaupata tu

Hehehehheee polee

Dua la kuku. ...
 
na wewe ambae sio mzinzi ujue utanasa tu,kwenye kisukari au kansa then bandiko lako halitokuwa na maana yeyote,kumbuka kuwa kilio hakifiwi!
Na jomba ukithubutu ndani ya wiki sita hizi utatimiza agano
 
Unatamani lugha ya kupendeza kwenye hatari
Watu tumekuwa tukijinasibu 'ulokole' kwenye kadamnasi kwa ajili ya unafiki wetu.

Muanzisha mada, umekuwa kimaadili kwa kiwango gani cha kujitosheleza mwenyewe, hadi uanze kuhubiri na kuiona kavukavu kwako ni chukizo, uione ni ovyo, yaani kwako na nafsi yako ikiri kuwa ni mbaya?

Watu mmekuwa mkitengeneza pesa kwa ajili ya kujenga hofu kwenye saikolojia za watu na kuukwaa ukwasi na kuishi maisha ya kifahari!

Kwanini usielekeze mada yako kuishauri jamii kujiepusha na uchafu na kuishi katika mazingira ya usafi ili kuepuka magonjwa ya milipuko yanayoua zaidi kuliko ukimwi?
Bali unaendeleza yale yale ya kujikinga na maambukizi ambayo tayari kuna watu wa kada hiyo ya kuhamasisha.
Hayo mambo sijui ya kavukavu, sijui condom nk nk ni kuhofisha na kuchanganya watu tu!

Hivi ukimwi unavyofahamika kuliko hata wimbo wa taifa, kuna haja ya kukumbushana kuimba verse zake, kama siyo kuhadaa akili za watu kutaka chochote kitu?

Kavu kavu ndiyo kila kitu, tukiendekeza kuvaliana maputo kama unavyotaka kuogopesha watu, kuzaliana itakuwa ni hadithi na ni kwenda kinyume na maagizo ya mh. Rais ya kuzaliana bila mpango ili kuongeza idadi ya raia, ili mradi mtu uwe na uwezo wa kulisha.
Wacha kupotosha!
 
Watu tumekuwa tukijinasibu 'ulokole' kwenye kadamnasi kwa ajili ya unafiki wetu.

Muanzisha mada, umekuwa kimaadili kwa kiwango gani cha kujitosheleza mwenyewe, hadi uanze kuhubiri na kuiona kavukavu kwako ni chukizo, uione ni ovyo, yaani kwako na nafsi yako ikiri kuwa ni mbaya?

Watu mmekuwa mkitengeneza pesa kwa ajili ya kujenga hofu kwenye saikolojia za watu na kuukwaa ukwasi na kuishi maisha ya kifahari!

Kwanini usielekeze mada yako kuishauri jamii kujiepusha na uchafu na kuishi katika mazingira ya usafi ili kuepuka magonjwa ya milipuko yanayoua zaidi kuliko ukimwi?
Bali unaendeleza yale yale ya kujikinga na maambukizi ambayo tayari kuna watu wa kada hiyo ya kuhamasisha.
Hayo mambo sijui ya kavukavu, sijui condom nk nk ni kuhofisha na kuchanganya watu tu!

Hivi ukimwi unavyofahamika kuliko hata wimbo wa taifa, kuna haja ya kukumbushana kuimba verse zake, kama siyo kuhadaa akili za watu kutaka chochote kitu?

Kavu kavu ndiyo kila kitu, tukiendekeza kuvaliana maputo kama unavyotaka kuogopesha watu, kuzaliana itakuwa ni hadithi na ni kwenda kinyume na maagizo ya mh. Rais ya kuzaliana bila mpango ili kuongeza idadi ya raia, ili mradi mtu uwe na uwezo wa kulisha.
Wacha kupotosha!
Mjomba ukimwi ni mbaya unatesa.usijifariji.uzinzi sio jambo jema kama wewe mzinzi hakika hautobaki salama piga dry,beach soka utanasa tu
 
Mjomba ukimwi ni mbaya unatesa.usijifariji.uzinzi sio jambo jema kama wewe mzinzi hakika hautobaki salama piga dry,beach soka utanasa tu
Tatizo ume base sana kujiogopesha na kuogopesha.
Issue ya kunasa hata kama siyo mzinzi unanasa tu, hata kama ni mhamasishaji grade one kama wewe, unanasa tu.
Kwa hiyo usi group makundi ya watu kuwa hawa wenye tabia za utulivu hawahusiki na maambukizi, ama wakware wote ndiyo wanaohusika na maambukizi, jambo ambalo siyo kweli.
Ndiyo maana nikasema kuanza kuhamasisha ama kutishia watu kwa jambo linalofahamika na kila mtu lazima kuna kitu unanufaika nacho.
 
Kila la kheri mwaya maana yavuta kheri ila ujiandae maana yaumiza matumbo pia...
Msemo wa mwaya niliukuta handeni ......haya mwaya ....mwaya....mwaya


Hivi utakuwa mtanga kbs kasie
 
Back
Top Bottom