Wanaume na hali hii ngumu

Wanaume na hali hii ngumu

Huyu demu huwa simuelewagi, mpangilio wa maneno mbaya, content haieleweki. Wanaume tuna kazi sana.
Sio lazima usome post au comment zake sepa kwingine .
Kuna post kwa mwezi kama elfu moja soma hizo .
Sio kuja kujishaua halafu bado ni mwanaume .
Au wewe hujakamika
 
Sio lazima usome post au comment zake sepa kwingine .
Kuna post kwa mwezi kama elfu moja soma hizo .
Sio kuja kujishaua halafu bado ni mwanaume .
Au wewe hujakamika

Hujakamika ndio mnyama gani ? Unapenda usifiwe tu! Sisi wengine tutakupa live bila chenga.
 
Back
Top Bottom