katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,762
Zamani wadau wanaume walikuwa wanahonga kabisa na wala hawana hiyana ya kuongopea bia kwa sana wanawake zao wana mambo mengi kibao ila sasa wanaume wanahonga ila kwa shida sana.
Labda aruke ukuta ndio wapewe nyingi kidogo.
Hali ni ngumu sijui wake wadogo na magirlfriends wanasaidiwaje?
Hata mahotelini hakuna tipu sana wala nini.
Kila mtu anakeep chenchi na kwa usawa huu kutaisha nyumba ndogo na mtatulia kabisa.
Kuongea kwa nyodo hakuna .
Kisa mmefulia kabisa .
Labda aruke ukuta ndio wapewe nyingi kidogo.
Hali ni ngumu sijui wake wadogo na magirlfriends wanasaidiwaje?
Hata mahotelini hakuna tipu sana wala nini.
Kila mtu anakeep chenchi na kwa usawa huu kutaisha nyumba ndogo na mtatulia kabisa.
Kuongea kwa nyodo hakuna .
Kisa mmefulia kabisa .