Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Mbona umesahau wale wa SEKONDARI????
nilikuwa nae chekechea ila hatukufanyana kitu.
Sekondari nilikuwa serious na kemia ..
Mbona umesahau wale wa SEKONDARI????
muulize da Dena!!
ukuta unamasikio!!
nashukuru sipo kwenye official list ngoja nipite zangu.
Hus ETC nayo ni jina ujue changia tu bana mie wawili nimerudia tena kusema
hahahaha!
Usije ukarudi tena ukasema watatu.
Na mimi nishamuongezea mmoja, ila hakunifanya kitu.
Yule wa chekechea, Primary, o'level, a'level mbona umewasahau???
heheheheh swali uliouliza leo zuri,,,, wanaume ndio mahabith wakwanza duniani japo wanawake wasingiziwa,,, we utakuta mtu keshachovya sijui ndio niini vile yaani kukutana na mwanamke mara elfu then ataka yeye akioa akukute bikra jambo ambaloo ni uonevu wallah,,, mi naona wanaume ndio wanahangaika sana kabla ya kuingia kwenye ndoa,japo sina uhakika,,,ila huo ndio mtazamo wangu,,, mnisamehe wanaume wa humu jamani,,, kwani wanaume wa jf wao hawahangaiki heheheh msije mkanuna bure,,,
Mmh sio chini 25 ila umri ni chini ya 25!Mpango wangu ni kudabo hiyo namba kabla sijaolewa ili nikiolewa nisione kuna jipya lolote nje!Haahahaa wewe unataka kunipa sababu nyingine kuwa Galz ndo wanaongoza kwa hii kitu. LOL
Mmmmmh Mbona unazungumzia boyz tu, hebu nambie na wewe vipi dozen wanafika?????
Unaweza ukashangaa idadi ukiwaammbia wapenge mstari ni Dar mpaka Moro idadi yake hiyo
Mkuu,
Mpaka sasa kama 34 hivi na kuna kibinti kinanivutia sana hapa mtaani ila naogopa kuitwa fataki kwa sasa.