wewe Fidel80 hujui kuwa vimbaumbau ndio wa ukweli, unataka mitipwamitipwa ili iweje?
mtegee wiki ijayo, wikend yote yuko hapa anasulubika,
Tatizo kubwa huwa hawanawi sehemu ya siri mara wamalizapo kukojoa mikojo huingia kwny chupi huganda na kutoa uvundo na ukizingatia boxa wanarudia wiki nzima uvundo unakuwa balaaaa!!
Sitaki na domo lako hilo kama naniliiiiiiiii
sio mdomo tu, hata kule amelegea vivyo hivyo kama mlenda wa pembaSitaki na domo lako hilo kama naniliiiiiiiii
Mnapenda Mipapa ya wanawake eeee..!!!!!!!!!!!11
sio mdomo tu, hata kule amelegea vivyo hivyo kama mlenda wa pemba
Wanawake mna uwezo mkubwa wa kunusa kuliko wa kwetu ...so sorry for you!!
Wanaume dizaini hii wanapenda vya bure hakawii kukuhonga buku 2 ya tuktuk.
sio mdomo tu, hata kule amelegea vivyo hivyo kama mlenda wa pemba
Thubutu nakujazia watu mpaka utabroooo.
kwi kwi kwi kwi kwi kwi
Hahaha mruhusu aje utajua kwa nn wake za watu wanatembea na mateja kama mie
kwi kwi kwi kwi kwi kwi
unamaanisha kuwa wao wanafaa kuwa walinzi wazuri sio?
umofia kwenu.....
Nimekaa nalo hili toka mchana......
Kaka zetu vipi jamani? Hata kujipenda kidogo?
Unakuta mwanaume, msomi na masters yake ananuka uvundo? Ananuka kutu? Ananuka kama maharage yaliyochacha?
Hivi hamjinusi?
Au hiyo harufu mnadhani ni perfume?
Mwanaume unavaa shati moja siku tatu?
Imagine mko kwenye kikao, mwanaume kichwani zinachaji anatema pointi ila mweeee harufuuuuuu.....ptuuuuuuuu unatamani kutapika.... Mwili unatema harufu kaliii
Tena wale mliooa msiseme wake zenu hawawaandai, usafi ni hulka ya mtu, kama ni msafi hutosubiri kusafishwa na mkeo.....
Please please jamani.......
Wanaume , Mtu ni afya, jali afya yako,
koga angalau mara mbili kwa siku, nguo hata kama ni kauka nikuvae ifue iwe safi, nyoq makwapa, nyoa mnarani, paka perfume, hata deorodanti zipo za bei nafuu mfano za fa, si lazima upake expensive.....
Jipende na jijali......
Nawatakia usiku mwema....
hata akija, nimeshamtega