Wanaume Mungu awasaidie

Kuna wengine ni maboya wa asili kula mbususu hali ila anatumika kufanya hivyo vitu. Wakaka wa hivyo huwa hawana maendeleo buruma zinawaponza
 
Sasa mkaka bachela anapanga vipi nyumba vyoo vya kushare?
Si atafute self container ili awe huru, naye sijui anakwama wapiii khaaah.
 
Kama mimi nilikokua nimepanga Morogoro ilifikia hatua hata gas zikikata wanakuja kupashia kwangu mi nilikua na jiko ila nilikua sipiki gharama za usafi na umeme mimi duh

Halafu uliwatafuna au uliacha bahati yote hiyo ikapita...
 
Na wewe umeolewa..? au ni miongoni wanaomtegemea
 
Unajua kutunga hadithi
Hongera
 
Wanaume wa hivyo ndio wanaongoza kwa kutumiwa na wanawake ila huwezi kuta mtu kama huyo anapokea the same love.
Wanawake wanaishiaga kusifia tu kama mtoa mada ila utaskia the guy is so boring!
 
Mtu yoyote anayeleta shobo kwa wanawake mainly hawa single mothers na waliolewa +madanga lazima ataishia kula njugu soon as Possible
 
Hahaha
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…