Wanaume Mungu atusaidie

Wanaume Mungu atusaidie

Sicario poison

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2021
Posts
2,325
Reaction score
4,569
Picha linaanza siku umezaliwa, wazazi na jamii nzima inafurahi kwa kupata mtoto mwanamume bila kujua huko mbeleni atafanya nini ili kufikia kusudio la kuwa hapa duniani.

Naweza kusema hakika tangu mwanzo wanaume tumepewa mamlaka ya kuendesha dunia hii, piga picha bila wanaume nguvu kazi ya taifa ingetoka wapi?

Nchi kuwa tofauti kabisa kiongozi akiwa jinsia ile ya pili nadhani mfano halisi tunao.

Ikitokea umepata mke na watoto jua hao wote wanakuangalia wewe kama kichwa cha familia kuanzia chakula, mavazi na malazi. Wanaume ndio tunapitia misukosuko mingi sana mpaka kufikia kutimiza ndoto zetu.

Ewe mwanaume popote ulipo daima usikate tamaa kwa magumu unayopitia kuzifikia ndoto zako. Tujipige kifua na kusema dunia ipo kwa ajili yetu.
 
Kwa dunia ya leo iliyojaa ujinga wa mabepari kuliko kushangilia ukipata mtoto wa kiume unapaswa umuombe Mungu hasa aje kuwa mwanaume kweli.

Kuna mzee kajihini kupeleka mwanae wa kiume kusoma ubelgiji. Amerudi na dume la kizungu kuwa ndio boyfriend wake. Kitako anakibinua na kuongea kama demu huku kavaa viguo vya kubana. Mzee anabaki kusikitika tu.
 
sjakuelewa please come again
Watu tunapenda kukopiana kwenye kila kitu

Huyu Akioa na mm nioe na jamii imekariri hivo wakati sio kila mtu anaweza kuwa kwenye ndoa.

Ni kama vile shule kuna watu wanapiga Division 1 na wengine wanapiga 0

Kwenye maisha pia ni hivyo hivyo, kuna mwingine maisha kayapatia ana mjengo mkali ana push Range rover sport..mwingine maisha yamemchapa hana mbele wala nyuma analala kwenye mabox.

Tukija kwenye ndoa sasa kuna wengine ndoa zao ni chungu sana wanaishi tu ilimradi siku ziende na kuna wengine wanafurahia ndoa zao since day one amani imetawala.

Kwahyo kama unadhani unafaa kuwa kwenye ndoa it's okay ila kama huwezi bora ukae chonjo.

Ndoa is not for everyone
 
ndoa ni kwa kila mtu ikiwa tu kila mtu atacheza nafasi yake kikamilifu nainayotakiwa
Wapo wanaume waliofanywa matowashi toka tumboni mwa Mama zao ,wapo walijifanya matowashi wenyewe na wapo waliofanywa matowashi na Watu wengine
Ndoa sio ya kila mtu
 
Kwa dunia ya leo iliyojaa ujinga wa mabepari kuliko kushangilia ukipata mtoto wa kiume unapaswa umuombe Mungu hasa aje kuwa mwanaume kweli.

Kuna mzee kajihini kupeleka mwanae wa kiume kusoma ubelgiji. Amerudi na dume la kizungu kuwa ndio boyfriend wake. Kitako anakibinua na kuongea kama demu huku kavaa viguo vya kubana. Mzee anabaki kusikitika tu.
😵
😵😵😵
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom