Wanaume mtuvumilie tu kwakuwa tunaogopa matusi yenu

Mwanamke kuficha pesa wakati wa shida ndo changamoto ata ivo ukikuta kuna mwanamke ana roho ya ivo asee ana roho ya ngumu sana hakutakiwa apewe ata watoto sasa!! Ila vya kibubu mviache vinapunguza kelele kati yako na familia ya mkeo......
sina tatizo na pesa ya kwenye kibubu,shida itakuja tu kama pesa hiyo hatoweza hata kuitumia saidia familia tunapopita katika magumu na mapito.

ila kama hamna tatzo lolote kwenye familia,pesa naacha kama kawaida,maisha safi then nakutana na hela kwenye kibubu au hata tu kwenye kabati aniambie ni zake,wala sina tatizo na sitouliza chochote,ni pesa zake. nina amani kbsa.

ila si kwa mfano ule niliutoa pale juu.
 
Nitaitoa lakini nitakwambia ni ya mama Ashura amenipa nimshikie hivyo itabidi tuirudishe.
Siku ya tatizo hukuitoa,umeona msoto wote nilivyokua nahangaika

leo naikuta kabatini/uvunguni hivi utanieleza nini mimi nikuelewe?
 
Tunacheza upatu, vikoba, vibubu ni kwa kujikwamua kiuchumi. Kuna mengine tunashindwa kuwaambia maana mkikasirika hamchagui maneno.

Unatumiwa ujumbe nyumbani nyumba inavuja, paa limechoka. Hawana msaada mwingine wanakutegemea wewe. Ukimshirikisha mumeo katika hili, wee usipompigia pasi shati lake utasikia, “shukran huna juzi tu niwebadilisha paa kwenye nyumba ya baba yako”.

Tumeamua, katika ile 5,000 ya mboga unayoacha tunakata 3,000 inaingia kwenye kibubu na inaunganishwa na upatu J’mosi. Hii 2,000 inatosha fungu la dagaa kavu na bamia. Ukirudi unakuta roast ya dagaa na juice ya maembe.

Mnafanya mengi lakini hatuwaambii kwakuwa wengine makoo yenu yako wazi mno.
Mbona hii ni akili nzuri tu
 
Wakiitwa wanaume na wewe utatoka mbele? Mwanaume unae wategemea wanaume wenzako tutafute kisha utuletee hao watoto wako wa kike tukuolee sio? Kuwa makini asee yani hata kwa jinsi tu ulivyo andika hapa inaonyesha haujakamilika kuitwa mwanaume, na kama kweli una wototo nakushauri nenda kapime DNA hao watoto sio wako sure.

Nishakuambia situmii mtandao wa tigo.

Unashoboka kishoga shoga. Sili uchafu mimi.
 
Umasikini si kilema ni matatizo. Dr Mengi RIP alisimulia alivyozaliwa kwenye umasikini lakini amekufa akiwa tajiri.


Umasikini ni zaidi ya kilema Mamaa.

Masikini analaana ya asili. Hata ufanyeje hawezi kufanikiwa.

Wahenga walisema ng'ombe wa Masikini hazai.

Umasikini ni laana.

Kama huamini baki hapo hapo.

Ila najua kwa umri wako na akili ninayokuonaga humu sidhani kama utashindwa kuelewa jambo hili.

Familia masikini ni masikini tuu.

Hata akitokea katika familia masikini akapata pesa utaona atakavyo act. Mara anywe pombe, mara aibe wake za watu, Mara alale na malaya, yaani tafrani.

Wanasema masikini akipata matako hulia mbwata. Wengi hufa kwa UKIMWI. Wengi hujigeuza miungu watu.

Masikini ni masikin tuu. Hata apate hela bado umasikini upo kwenye damu.

Bado atakuwa mhitaji wa hela hata isiyoyake. Atakuwa na husda na kijicho.

Hakika Hunishawishi kuoa mke Masikini hata kwa Risasi.

Masikini ni maiti inayosubiri kuoza nzi waje wale.
 
Astghfirullah,maneno makali sana haya blaza kumbuka aliyekupa wewe ndie alomnyima huyo masikini!!

kila mtu anaamini anachokiamini,lakini believe me or not,mtu anaweza akawa masikini lakini anaweza kuwa bright kuliko huyo tajiri ukizingatia maswala ya ndoa sio pesa tu,ndo utaona ndoa nyingi za watu wa hali ya chini na kati zinadumu kuliko hata za hao "matajiri"

alafu umasikini ni utajiri si kilema kusema ni permanent,kuna watu waliolewa matajiri wakafilisika,na kuna wengine wakaolewa na masikini ila wakatajirika!!


Umasikini ni zaidi ya kilema Mamaa.

Masikini analaana ya asili. Hata ufanyeje hawezi kufanikiwa.

Wahenga walisema ng'ombe wa Masikini hazai.

Umasikini ni laana.

Kama huamini baki hapo hapo.

Ila najua kwa umri wako na akili ninayokuonaga humu sidhani kama utashindwa kuelewa jambo hili.

Familia masikini ni masikini tuu.

Hata akitokea katika familia masikini akapata pesa utaona atakavyo act. Mara anywe pombe, mara aibe wake za watu, Mara alale na malaya, yaani tafrani.

Wanasema masikini akipata matako hulia mbwata. Wengi hufa kwa UKIMWI. Wengi hujigeuza miungu watu.

Masikini ni masikin tuu. Hata apate hela bado umasikini upo kwenye damu.

Bado atakuwa mhitaji wa hela hata isiyoyake. Atakuwa na husda na kijicho.

Hakika Hunishawishi kuoa mke Masikini hata kwa Risasi.

Masikini ni maiti inayosubiri kuoza nzi waje wale.
 
Tabu ya haya yote nadhani yanatafutwa na wazazi wenu wenyewe wanawake. Ikiwa nitakwenda kwenu nikakuoa bila kukomolewa pesa ya mahari na hivyo ki nini sijui cha bibi, sijui mkaja wa babu sijui blanket la nani sina hakika kama kutakuwa na mushkeli hata kujengea wakwe.

Ila sasa ndio hivyo mmeshageuzwa mitaji na wazazi wenu, shida zote mnataka zimalizwe na mahari, unadhani mimi nitakuwa na ari ipi ya kujihusisha na maswala ya kwenu!?
 
tutafika tuuu bora hizo mnazokata maana zakutoa toka mfukoni lazima utazilipia vinginevyo nyoosha shati vizuri tuuu
 
Kuna ukweli hapo.. Kutangazatangaza njaa tena ndogo ndogo ndo mwanzo wa kudharaulika..
Ukitaka heshima kwa mumeo ndugu yangu usithubutu mumeo ajue shida za nyumbani kwenu, pambana tooth and nail mwenyewe. Mana mwingine anaweza asitamke hata kama mmeuziana hata kusimanga lakini huko moyoni atawadharua ukoo mzima akhaa
 
Sasa hapo ndio wanaume restaurant hatupungui yaani unaenda job asubuhi unaacha ten halafu unarudi umecboka una hamu na msosi halafu mwanamke umepika ugali dagaa umechanganya na nyanya chungu halafu unachukua kibakuli unaenda kuomba matembele kwa shoga yako wa jirani, my friend nyumba ndogo zinapika mpaka unahisi raha.
Tunacheza upatu, vikoba, vibubu ni kwa kujikwamua kiuchumi. Kuna mengine tunashindwa kuwaambia maana mkikasirika hamchagui maneno.

Unatumiwa ujumbe nyumbani nyumba inavuja, paa limechoka. Hawana msaada mwingine wanakutegemea wewe. Ukimshirikisha mumeo katika hili, wee usipompigia pasi shati lake utasikia, “shukran huna juzi tu niwebadilisha paa kwenye nyumba ya baba yako”.

Tumeamua, katika ile 5,000 ya mboga unayoacha tunakata 3,000 inaingia kwenye kibubu na inaunganishwa na upatu J’mosi. Hii 2,000 inatosha fungu la dagaa kavu na bamia. Ukirudi unakuta roast ya dagaa na juice ya maembe.

Mnafanya mengi lakini hatuwaambii kwakuwa wengine makoo yenu yako wazi mno.
 
Sasa hapo ndio wanaume restaurant hatupungui yaani unaenda job asubuhi unaacha ten halafu unarudi umecboka una hamu na msosi halafu mwanamke umepika ugali dagaa umechanganya na nyanya chungu halafu unachukua kibakuli unaenda kuomba matembele kwa shoga yako wa jirani, my friend nyumba ndogo zinapika mpaka unahisi raha.
Au unakuta makande
 
Astghfirullah,maneno makali sana haya blaza kumbuka aliyekupa wewe ndie alomnyima huyo masikini!!

kila mtu anaamini anachokiamini,lakini believe me or not,mtu anaweza akawa masikini lakini anaweza kuwa bright kuliko huyo tajiri ukizingatia maswala ya ndoa sio pesa tu,ndo utaona ndoa nyingi za watu wa hali ya chini na kati zinadumu kuliko hata za hao "matajiri"

alafu umasikini ni utajiri si kilema kusema ni permanent,kuna watu waliolewa matajiri wakafilisika,na kuna wengine wakaolewa na masikini ila wakatajirika!!


Kudumu kwa ndoa ni ishi ya uvumilivu haihusiani na pesa.

Lakink furaha ya ndoa ni mapenzi. Mapenzi ni huduma. Nipe nikupe. Kama hujui hiyo kanuni utafeli.

Mapenzi ya nipe pekee yake sio mapenzi. Huo ni ukupe. Mapenzi "Nikupe" sio mapenzi ni ubepari.

Mapenzi ni nipe nikupe. Maisha ni nipe nikupe. Sasa masikini wanafomula ya kupewa tuu wala sio kutoa. Hapo hakuna mapenzi.

Mapenzi ni kama pumzi. Unavuta alafu unatoa. Mapenzi ya kuvuta bila kuvutwa sio mapenzi.

Ukioa masikini wewe utakuwa unavuta tuu mke/mume hakuvuti. Kwa nini usife mapema.

Huwezi nielewa ukileta mantiki za kitoto haoa sijui Astaghafirulah sijui utumbo gani.

Mapenzi ni two way traffic. Sio one way.

Sasa ukioa au kuolewa na masikini hapo lazima ufeli.

Hata hivyo silazimishi mtu aelewe Falsafa zangu.
 
Back
Top Bottom