trudie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 4,446
- 10,797
- Thread starter
- #21
Mada inaongelea wanaume na sio wanawake. Nao wataletewa uzi wao na wakwe zao ila kwa leo tuzungumzie wanaume. Hasa wanaoshindwa kuwatetea wenz wao mbele ya ndugu na marafiki. Tuanzie hapoMwisho kabisa wanaume wakwe zako ndio waliokufanya upate mke nae atakuletea watoto wazuri jaribu kuwaheshimu na kuwajali. Kuwajali namaanisha hata kuwasalimia na kuwatembelea angalau wanaona mtoto wetu ameenda sehemu sahihi.
Mbona hujaongelea wakwe zako,
Kama wewe umeandika hujakopi hii story basi jua kabisa kua hauko fair,
.. Chamsingi kujifunza, na lazima ujifunze haijalishi kwa njia gani.