Wanaume msifanye hivi

Wanaume msifanye hivi

Mwisho kabisa wanaume wakwe zako ndio waliokufanya upate mke nae atakuletea watoto wazuri jaribu kuwaheshimu na kuwajali. Kuwajali namaanisha hata kuwasalimia na kuwatembelea angalau wanaona mtoto wetu ameenda sehemu sahihi.

Mbona hujaongelea wakwe zako,

Kama wewe umeandika hujakopi hii story basi jua kabisa kua hauko fair,
Mada inaongelea wanaume na sio wanawake. Nao wataletewa uzi wao na wakwe zao ila kwa leo tuzungumzie wanaume. Hasa wanaoshindwa kuwatetea wenz wao mbele ya ndugu na marafiki. Tuanzie hapo
 
  • Thanks
Reactions: 365
Tatizo kuna mda mwanamke anakuwa anamdomo, anaropoka mbele ya watu utaacha kumgombeza au kumkaripia??

me mwanamke akinijibu hovyoo mbele za watu ntamkata hayoo maskio. tukiwa chumbani ajibu atakavyo ata atukane sawa tu.
Kwa wanawake wenye mdomo sina la kusema aisee. Nasemea pale unakuta mwanamke mpole hana shida ila amekosea kidogo tuu unamdhalilisha mbele za watu unamfanya ajione hana thamani.
 
Basi sawa
Mada inaongelea wanaume na sio wanawake. Nao wataletewa uzi wao na wakwe zao ila kwa leo tuzungumzie wanaume. Hasa wanaoshindwa kuwatetea wenz wao mbele ya ndugu na marafiki. Tuanzie hapo
 
Ubarikiwe sana.
Tukiwa tunaianza wikiendi tulivu kabisa nawasalimu wanajukwaa wote.
Kilio changu mimi ni kwa wanaume hasa waliooa, wanaoishi na wachumba au wapenzi wao iwe kwa kutoa mahari au kinyemela ila unaishi nae. Awe kakuzalia watoto au bado Mungu hajawajalia.

Jamani wanaume waheshimuni sana wenzi wenu maana huyo ndio anayekulelea watoto wako. Usimseme vibaya mwenzi wako kwa ndugu na marafiki zako mfichie madhaifu na mapungufu yake. Unaposhiriki kumsema vibaya jua kwamba humuaibishi yeye tuu bali na wewe unajiabisha kwa hao watu.
Wanaume jamani kamwe usikubali watu wakamwongelea vibaya mwenzi wako mbele zako na wewe ukacheka tuu mtetee onyesha kwamba wewe hufurahii hicho kitendo hata mwongeaji awe mama au baba yako mzazi mwenzi wako ni wa thamani sana.

Jambo lingine jamani wanaume usimdhalilishe mwenzi wako mbele ya watu, usimtukane wala kumkaripia. Hata akikukosea kuna sehemu sahihi ya kumwambia kosa lake ila sio mbele za watu unamfanya akose raha na kukosa "confidence". Mheshimu sana mama watoto wako maana amejitoa sana kukuletea hao watoto alibeti kifo chake kuingia leba ili tuu uitwe baba.

Mwisho kabisa wanaume wakwe zako ndio waliokufanya upate mke nae atakuletea watoto wazuri jaribu kuwaheshimu na kuwajali. Kuwajali namaanisha hata kuwasalimia na kuwatembelea angalau wanaona mtoto wetu ameenda sehemu sahihi.

Ni hayo tuu kwa leo enyi wanaume. Nawatakia wikiendi njema.
 
Tukiwa tunaianza wikiendi tulivu kabisa nawasalimu wanajukwaa wote.
Kilio changu mimi ni kwa wanaume hasa waliooa, wanaoishi na wachumba au wapenzi wao iwe kwa kutoa mahari au kinyemela ila unaishi nae. Awe kakuzalia watoto au bado Mungu hajawajalia.

Jamani wanaume waheshimuni sana wenzi wenu maana huyo ndio anayekulelea watoto wako. Usimseme vibaya mwenzi wako kwa ndugu na marafiki zako mfichie madhaifu na mapungufu yake. Unaposhiriki kumsema vibaya jua kwamba humuaibishi yeye tuu bali na wewe unajiabisha kwa hao watu.
Wanaume jamani kamwe usikubali watu wakamwongelea vibaya mwenzi wako mbele zako na wewe ukacheka tuu mtetee onyesha kwamba wewe hufurahii hicho kitendo hata mwongeaji awe mama au baba yako mzazi mwenzi wako ni wa thamani sana.

Jambo lingine jamani wanaume usimdhalilishe mwenzi wako mbele ya watu, usimtukane wala kumkaripia. Hata akikukosea kuna sehemu sahihi ya kumwambia kosa lake ila sio mbele za watu unamfanya akose raha na kukosa "confidence". Mheshimu sana mama watoto wako maana amejitoa sana kukuletea hao watoto alibeti kifo chake kuingia leba ili tuu uitwe baba.

Mwisho kabisa wanaume wakwe zako ndio waliokufanya upate mke nae atakuletea watoto wazuri jaribu kuwaheshimu na kuwajali. Kuwajali namaanisha hata kuwasalimia na kuwatembelea angalau wanaona mtoto wetu ameenda sehemu sahihi.

Ni hayo tuu kwa leo enyi wanaume. Nawatakia wikiendi njema.
Siwezi kutetea upuuzi, ukishidwa kuelewa mambo kistaarabu then u'll have learn them the hard way.. Chamsingi kujifunza, na lazima ujifunze haijalishi kwa njia gani.
 
Siwezi kutetea upuuzi, ukishidwa kuelewa mambo kistaarabu then u'll have learn them the hard way.. Chamsingi kujifunza, na lazima ujifunze haijalishi kwa njia gani.
mkuu bora ingekuwa kumsema kuwa amekosea hapana ni kumsimanga na kumsema kwa mambo ya uongo. Halafu unakuta mume anacheka tuu mwenzi anavyosimangwa wakati anajua sio kweli kabisa
 
Watu wanafurahia sana matusi. Ukiandika maneno ya busara kama haya, thread yako inakufa na kurasa 2 tu. Lakini ukiandika habari ya kulowa kila unapoguswa...., mh, utaona watu watakavyochangia! Kweli watu wengi tunapenda njia pana yenye lami lakini itupelekayo kuzimu. Njia nyembamba haipendwi...
 
Watu wanafurahia sana matusi. Ukiandika maneno ya busara kama haya, thread yako inakufa na kurasa 2 tu. Lakini ukiandika habari ya kulowa kila unapoguswa...., mh, utaona watu watakavyochangia! Kweli watu wengi tunapenda njia pana yenye lami lakini itupelekayo kuzimu. Njia nyembamba haipendwi...
Hahahaaa ndio wabongo walivyo mambo ya msingi hawataki kabisa kusikia. Ila andika pumba uone uzi unavyokimbia kwa kasi
 
Tukiwa tunaianza wikiendi tulivu kabisa nawasalimu wanajukwaa wote.
Kilio changu mimi ni kwa wanaume hasa waliooa, wanaoishi na wachumba au wapenzi wao iwe kwa kutoa mahari au kinyemela ila unaishi nae. Awe kakuzalia watoto au bado Mungu hajawajalia.

Jamani wanaume waheshimuni sana wenzi wenu maana huyo ndio anayekulelea watoto wako. Usimseme vibaya mwenzi wako kwa ndugu na marafiki zako mfichie madhaifu na mapungufu yake.

Unaposhiriki kumsema vibaya jua kwamba humuaibishi yeye tuu bali na wewe unajiabisha kwa hao watu.

Wanaume jamani kamwe usikubali watu wakamwongelea vibaya mwenzi wako mbele zako na wewe ukacheka tuu mtetee onyesha kwamba wewe hufurahii hicho kitendo hata mwongeaji awe mama au baba yako mzazi mwenzi wako ni wa thamani sana.

Jambo lingine jamani wanaume usimdhalilishe mwenzi wako mbele ya watu, usimtukane wala kumkaripia. Hata akikukosea kuna sehemu sahihi ya kumwambia kosa lake ila sio mbele za watu unamfanya akose raha na kukosa "confidence". Mheshimu sana mama watoto wako maana amejitoa sana kukuletea hao watoto alibeti kifo chake kuingia leba ili tuu uitwe baba.

Mwisho kabisa wanaume wakwe zako ndio waliokufanya upate mke nae atakuletea watoto wazuri jaribu kuwaheshimu na kuwajali. Kuwajali namaanisha hata kuwasalimia na kuwatembelea angalau wanaona mtoto wetu ameenda sehemu sahihi.

Ni hayo tuu kwa leo enyi wanaume. Nawatakia wikiendi njema.

aaaagh wapi na nyie akili zenu mbovu wakati mwingine ndiyo maana tunawafanyia visa
 
Ulimuoa wa nini mwenye akili mbovu? Na je kumfanyia visa kunakufanya uwe mwanaume au akili isiwe mbovu??
aaaagh wapi na nyie akili zenu mbovu wakati mwingine ndiyo maana tunawafanyia visa
 
wanawake mna midomo sana....tukiwapenda saaaaannaaa,,, mnatuona mabwege.....kikubwa ni kuheshimiana......na uelewe habari habari ya wakwe haina mashiko kabisa....sijaoa ukoo...na msipende kulazimisha sana hili...wengi wamevurugwa na hili...ni wazazi tuwaheshimu inatosha....watoto ni wetu sote habari ya kunizalia delete.....ungenizalia ukaondoka hapo sawa.....
 
Hi
Biblia haisemi tuwaheshimu wake zetu bali tuwapende....wake ndio wameaswa kutuheshimu na kututii sisi....Mungu anajua kabisa kuwa mwanamke akiheshimiwa huwa anabadilika na kuwa mbaya kuliko shetani...yy apendwe tu..ova

Huwezi kupenda bila kuheshimu.
 
wanawake mna midomo sana....tukiwapenda saaaaannaaa,,, mnatuona mabwege.....kikubwa ni kuheshimiana......na uelewe habari habari ya wakwe haina mashiko kabisa....sijaoa ukoo...na msipende kulazimisha sana hili...wengi wamevurugwa na hili...ni wazazi tuwaheshimu inatosha....watoto ni wetu sote habari ya kunizalia delete.....ungenizalia ukaondoka hapo sawa.....
Je ni heshima kutowajulia hali wala kuongea na wakwe zako zaidi ya miaka?? Je kumsema mke wako vibaya (kumsimanga) tena kwa mambo ya kusikia mbele ya rafiki zako ni haki??? Je kufurahia na kukaa kimya mke wako akisemwa na ndugu zako tena unajua kabisa sio kweli ni haki?? naomba unijibu hayo then rudi usome upya uzi uchangie
 
Logic.
Tukiwa tunaianza wikiendi tulivu kabisa nawasalimu wanajukwaa wote.
Kilio changu mimi ni kwa wanaume hasa waliooa, wanaoishi na wachumba au wapenzi wao iwe kwa kutoa mahari au kinyemela ila unaishi nae. Awe kakuzalia watoto au bado Mungu hajawajalia.

Jamani wanaume waheshimuni sana wenzi wenu maana huyo ndio anayekulelea watoto wako. Usimseme vibaya mwenzi wako kwa ndugu na marafiki zako mfichie madhaifu na mapungufu yake.

Unaposhiriki kumsema vibaya jua kwamba humuaibishi yeye tuu bali na wewe unajiabisha kwa hao watu.

Wanaume jamani kamwe usikubali watu wakamwongelea vibaya mwenzi wako mbele zako na wewe ukacheka tuu mtetee onyesha kwamba wewe hufurahii hicho kitendo hata mwongeaji awe mama au baba yako mzazi mwenzi wako ni wa thamani sana.

Jambo lingine jamani wanaume usimdhalilishe mwenzi wako mbele ya watu, usimtukane wala kumkaripia. Hata akikukosea kuna sehemu sahihi ya kumwambia kosa lake ila sio mbele za watu unamfanya akose raha na kukosa "confidence". Mheshimu sana mama watoto wako maana amejitoa sana kukuletea hao watoto alibeti kifo chake kuingia leba ili tuu uitwe baba.

Mwisho kabisa wanaume wakwe zako ndio waliokufanya upate mke nae atakuletea watoto wazuri jaribu kuwaheshimu na kuwajali. Kuwajali namaanisha hata kuwasalimia na kuwatembelea angalau wanaona mtoto wetu ameenda sehemu sahihi.

Ni hayo tuu kwa leo enyi wanaume. Nawatakia wikiendi njema.
 
Back
Top Bottom