my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,402
- Thread starter
- #21
Ke. Whats wrong?Wewe ni me au ke
Ke. Whats wrong?Wewe ni me au ke
Hata mimi nawaonaga ni wahuni tu awe mwanamke au mwanaume.Mimi binafsi naona anajiuza na anajitangaza waziwazi...
Zamani Dar ilikuwa hivyo
Wale wanaojiuza wanaweka tattoo kuvutia wateja wazungu..
Wapo siku hizi wanaoiga Tu kama fashion but Mimi nawaona wote makahaba wanaojiuza
Watu wa kuiga hao halafu baadae wanakuja kujutaBinafsi sipendi wanawake wenye 'mambo' mengi.
Mtu kila kinachotrend anaibuka nacho. WTF ??
Matokeo yke wanaonekana kama wachafu wana mabaka mabakaunakuta mtu mweusi kachora tatuu nyeusi unaweza ukafikiri ana utango tango, labda watafute utaalam wa tatoo kuwa nyeupe. Waswahili vingine havitufai kabisa.
Piko inatoka ila zile tattoos za kudumu hazitoki bila ya medical methods halafu wengi wanaochora hawana hta uwezo wa kuzifuta mwisho wke unakua majuto.Vitu vya kawaida Sana hvyo ,kwani hao wanaojichora piko sjui wanatofauti gani ,acha ushamba mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi kupendezwa na Tattoos, naona ni chemicals tu kwenye ngozi aargh
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehe ustawi wa kipato cha familia yangu unataka niongelee mitandaoni? 😂 Wewe sio mzima kunywa maji ya baridi halafu upumzike kidogoHuu ushamba wa wapuuzi wachache kuongelea Tattoo na Bleach kila siku umetoka wapi?? Kwanin msiongelee mambo yenye tija katika ustawi wa kipato chenu au familia zenu.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe utakua umechora tattoos na sasa unajuta 😂 calm down kila mtu na mtazamo wke unachokipenda wewe sio lazima na mwingine akipendeunakuta jitu zima kabisa limekaa nyuma ya keyboard linatype , "Mm spend mwanamke mwenye tattoo wala mwenye bleach,," Yaan ushamba wao sasa imekuwa sheria. Wanakera sana,
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu itakuwa ametia bleach kwa nywele mada imemchomaHehe ustawi wa kipato cha familia yangu unataka niongelee mitandaoni? 😂 Wewe sio mzima kunywa maji ya baridi halafu upumzike kidogo
bila shaka wewe umeweka bleach kichwaniHuu ushamba wa wapuuzi wachache kuongelea Tattoo na Bleach kila siku umetoka wapi?? Kwanin msiongelee mambo yenye tija katika ustawi wa kipato chenu au familia zenu.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi kupendezwa na Tattoos, naona ni chemicals tu kwenye ngozi aargh
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa but hizi Ziko so direct na unaweza kuzikwepa ukiamua, so mimi hizo za tattoos nimeweza kuziepuka aisee.