Wanaume mnatafutaga nini?

Pole sana,njoo kwangu nikutulize
Sent using Jamii Forums mobile app
 
dunia sio salama pale ambapo unapopata changamoto ,ila ni mahala pazuri ukiwa na amani,furaha na fedha zote kwa pamoja....

 
Wanaofurahia mapenzi mara nyingi ni vipofu na viziwi,ukitaka wako peke yako utateseka sana hapa duniani, shika hilo
 
Usikute aliyeanzisha huu uzi ni msela
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume wanatafuta wanawake ambao wanafaa kuitwa WANAWAKE! Kati ya hao kumi atakuja kuoa hapo mmoja au asioe kabisaa mpaka aje aoe wa 35!
 
Na huko unapoenda utaumia zaidi bora urudi ulipotoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hallelujah!
 
Alikukuta bikira? Kama ni hapana, basi wewe na yeye hamna tofauti. Mnatofautiana muda wa kufanya ufuska, wewe ulifanya enzi hizo, yeye anafanya sasa. Pia uenda ni bikira ndiyo anayoitafuta maana hadi kufikisha zaidi ya 10 wakati yuko na wewe siyo mchezo. Kuna wanaume kutoa bikira walao moja maishani mwao ndiyo ndoto zao, hivyo hatulii mpaka aipate!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…