Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,153
Habari wanajamvi.
Nimekuwa najiuliza hili swali, Wanaume mnapenda Mwanamke yipi haswa? Nina marafiki wa kiume na hata kaka zangu ambao huwa naongea nao kuhusu mahusiano.
Utakuta yupo na mwanamke muda mrefu halafu Mara tu unasikia ameoa mwanamke mwingine, baadae anataka kumrudia wa zamani awe mchepuko. Nikiuliza kulikoni ndio nachoka, unapewa kasoro za mke aliyeolewa, sasa najiuliza ilikuaje?
Kuna aliyeoa mke halafu anadai mke kapoa sana, hajui kuomba wala kuanzisha gemu, hana maajabu. Nikiuliza kwanini sasa alimuacha ex? Anasema alichangamka sana na anaonekana mjanja mjanja.
Mwingine hata sijui wala hajanambia kama ana mchepuko ila story zake ni hizohizo mke hajiongezi, mke mstaarabu sana hadi kitandani, ukimuuliza alitaka mke aweje na unamuuliza hakuwaona hao watundu? Anasema aliwaona na atakupa scenario mbili tatu. Uliza mbona hukuoa huyo?
Jibu ni kuwa aliogopa yale mautundu dada anavyojiachia. Mkioa wapole mnayamiss tena.
Kwani mnatakaje? Mwanzo aigize kama mzembe halafu baadae aanze mautundu?
Siwaelewi tu na mkae mkijua hata hao mnaowaona wapole. Kuna mahali wanafunguka kama wewe unavyowafungukia wa nje.
Nimekuwa najiuliza hili swali, Wanaume mnapenda Mwanamke yipi haswa? Nina marafiki wa kiume na hata kaka zangu ambao huwa naongea nao kuhusu mahusiano.
Utakuta yupo na mwanamke muda mrefu halafu Mara tu unasikia ameoa mwanamke mwingine, baadae anataka kumrudia wa zamani awe mchepuko. Nikiuliza kulikoni ndio nachoka, unapewa kasoro za mke aliyeolewa, sasa najiuliza ilikuaje?
Kuna aliyeoa mke halafu anadai mke kapoa sana, hajui kuomba wala kuanzisha gemu, hana maajabu. Nikiuliza kwanini sasa alimuacha ex? Anasema alichangamka sana na anaonekana mjanja mjanja.
Mwingine hata sijui wala hajanambia kama ana mchepuko ila story zake ni hizohizo mke hajiongezi, mke mstaarabu sana hadi kitandani, ukimuuliza alitaka mke aweje na unamuuliza hakuwaona hao watundu? Anasema aliwaona na atakupa scenario mbili tatu. Uliza mbona hukuoa huyo?
Jibu ni kuwa aliogopa yale mautundu dada anavyojiachia. Mkioa wapole mnayamiss tena.
Kwani mnatakaje? Mwanzo aigize kama mzembe halafu baadae aanze mautundu?
Siwaelewi tu na mkae mkijua hata hao mnaowaona wapole. Kuna mahali wanafunguka kama wewe unavyowafungukia wa nje.