cheating ni kama kilevi kingine, iwe sigara, pombe, bange nk... kama mtu yuko addicted to cheating atacheat tu, hata awe anatombwa au kutomba kila siku, tena hata awe na zana/nyeti za namna gani
cheating is mental not physical.... wapo wasiopata watakacho lakini hawahangaiki
Hivi kuna mwanaume asiye busy maisha haya haswa kwa umri wetu wa kati huu???!!!!
Huyo uliyemsikia ni "ashki majinuni" hawakilishi wanawake wote. . . . . . . .
kila kitu kinaanza na tabia ya mtu,na tabia ya mtu mara nyingi hujengwa na mazoea,tatizo la vijana wa sasa hivi na maanisha wote,wa kike kwa wakiume hawawezi kutulia na mpenzi mmoja kwa sababu tangu awali walizoea kubadilisha badilisha wapenzi,ndani ya mwaka mmoja mtu anaweza kuwa hadi na wapenzi sita,mtu huyu katu hawezi kuwa mvumilivu kabisa ktk mahusiano,vijana hawana uvumilivu kabisa tangu awali na ndio maana ndoa nyingi zinavunjika kwa kukosa uvumilivu kwasababu wamezoea mapenzi ya Bluetooth(always connect when devices are near),tumeshakosea tangu awali na hayo unayoyasikia kwenye Noah ni matokea tu ya pale tulipokosea.
Msiogope kufanya mambo ya maendeleo kwa sababu ya kuogopa kuchapiwa. Mwanamke unaweza kuwa nae 24/7, 365 days a year, lakini kama ana hulka ya kuchepuka huwezi mzuia. Mbona kuna wengi tu wanaojitambua!!!.
hata wasio wasomi na wasio busy nao wanachapiwa je hii nayo wewe na huyo abiria mwenzako mtaiteteaje? tatizo si kuwa kuchapiwa bali jamii imekengeuka kimaadili totaly na pia tumepokea utandawazi huku tukiwa tumefungwa kitambaa machoni na sasa ndiyo kitambaa kimefunguliwa hivyo tunakula madhara yake. kwani na hao wanaume anaowasema kuwa wapo busy na wanaenda kusoma sijui huko ulaya hawakanyagi mbunye? mhemuko wa kufanya ngono ukikupanda hauna cha mume wangu anafanya masters wala phd na nijuavyo mbunye haina cha shupavu wala shujaa.
Sure wakwetu... Tunaojitambua tuko wachache! Yagwasugu..