Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,248
Wanajamii ni jumatatu nyingine.
Tuongeze maarifa kidogo! Asubuhi hii nimepanda Noah kuelekea kibaruani kwangu, abiria tulikuwa km 10 na wajinsia tofauti.
Mada ya mahusiano ikaja Ilianzia katika taarifa ya radio kutoka magazetini kuwa, kuna kisanga kwa moja ya wanandoa, sababu ikiwa ni matokeo ya DNA.
Hayo tuyaacheMjadala ndani ya Noah yetu ulihusu usaliti katika mahusiano!Kuna mwanadada wa rika la kati, yeye alitoa malalamiko yake na shutuma kwa wanaume wasomi.
Anasema wanaume wasomi, hasa wenye ajira wanachangia sana wanawake kuchepuka Kwa vile wamefeli kutumikia mabwana wawili huku ajira huku mke.
Anafafanua kuwa, hawa wanaume hawaishi safari za semina, warsha, mikutano na pia kurudi nyumbani late hours wakiwa wamechoka sana na kushindwa kutimiza majukumu ya kitandani.
Mwanadada huyu akatuma shutuma zngine kwetu na hasa wale wenye kusoma ngazi za elimu yenye kuhitaji uandishi wa pepa. Anasema mwanadada huyu kuwa, mwanaume yuko busy na paper research paper hana hata muda wa hugs, outings, love stories n.k.
Mbaya zaidi analalamika bidada kuwa inafika wakati mpaka usiku wa manane, jamaa yuko busy na paper! Jumamosi na Jumapili yuko busy na paper anamaliza kusema yeye, na kwa wanaume wa sampuli hii hapo juu, atagawa sana kikojoleo chake nje.
Anamaliza kwa ushuhuda kuwa marafiki zake wawili wanachepuka kisa, waume zao wameenda kufanya PhD nje na mwingine yuko busy na research paper.
Hili si la kupuuza Nimelileta kama shule kwetu sote naomba wanaume wenzangu tuliweke hili akilini na tulifanyie kazi kuona ukweli wake na magnitude ya athari zake kwa mustakabali wa mahusiano yetu.
Slim5.
Tuongeze maarifa kidogo! Asubuhi hii nimepanda Noah kuelekea kibaruani kwangu, abiria tulikuwa km 10 na wajinsia tofauti.
Mada ya mahusiano ikaja Ilianzia katika taarifa ya radio kutoka magazetini kuwa, kuna kisanga kwa moja ya wanandoa, sababu ikiwa ni matokeo ya DNA.
Hayo tuyaacheMjadala ndani ya Noah yetu ulihusu usaliti katika mahusiano!Kuna mwanadada wa rika la kati, yeye alitoa malalamiko yake na shutuma kwa wanaume wasomi.
Anasema wanaume wasomi, hasa wenye ajira wanachangia sana wanawake kuchepuka Kwa vile wamefeli kutumikia mabwana wawili huku ajira huku mke.
Anafafanua kuwa, hawa wanaume hawaishi safari za semina, warsha, mikutano na pia kurudi nyumbani late hours wakiwa wamechoka sana na kushindwa kutimiza majukumu ya kitandani.
Mwanadada huyu akatuma shutuma zngine kwetu na hasa wale wenye kusoma ngazi za elimu yenye kuhitaji uandishi wa pepa. Anasema mwanadada huyu kuwa, mwanaume yuko busy na paper research paper hana hata muda wa hugs, outings, love stories n.k.
Mbaya zaidi analalamika bidada kuwa inafika wakati mpaka usiku wa manane, jamaa yuko busy na paper! Jumamosi na Jumapili yuko busy na paper anamaliza kusema yeye, na kwa wanaume wa sampuli hii hapo juu, atagawa sana kikojoleo chake nje.
Anamaliza kwa ushuhuda kuwa marafiki zake wawili wanachepuka kisa, waume zao wameenda kufanya PhD nje na mwingine yuko busy na research paper.
Hili si la kupuuza Nimelileta kama shule kwetu sote naomba wanaume wenzangu tuliweke hili akilini na tulifanyie kazi kuona ukweli wake na magnitude ya athari zake kwa mustakabali wa mahusiano yetu.
Slim5.