KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,292
We ni mchepuko?
Tatizo sio kulala naye, je anatoa huduma ya usiku, kama hatoi kwann mchepuko usihusike kuokoa jahaziImekaajee mwanaume ana Mke usiku kuchaa analala na mke wake ana amka naye Ila usiku anamtumia text mchepuko Wa wafanye Phone Sex. Huwa mnataka nini hasa
Ulikuwa umeshampa mchezo?!
Sasa wewe ulitegemea nini,mapaja unayabana kisha hutaki awe na mchepuko we ulivyoolewa uliambiwa hapo ni lodge uende ukalale!?😳😳Hapana
jua kuna mapaungufu anakuwa nayo mke yanayopelekea hayo yoteImekaajee mwanaume ana Mke usiku kuchaa analala na mke wake ana amka naye Ila usiku anamtumia text mchepuko Wa wafanye Phone Sex. Huwa mnataka nini hasa
Mkuu nisaidie kaz na wajibu wa mchepuko kuna mtu naona simwelew mwelewKabla hujamlaumu na hyo phone sex yake why ulikubali kuwa mchepuko wake at first place? Unajua kazi na Wajibu wa mchepuko?
Phone sex hii tueleweshane hapo kwanza...?
Kwamba kila mmoja anagusisha uchi wake kwenye speaker ya simu au inakuaje...?
Mumeo ndo anakufanyia hivyo? Kama sio ulijuaje? Au wewe ndo mchepuko unayeombwa phone sex na huyo mume wa MTU?Imekaajee mwanaume ana Mke usiku kuchaa analala na mke wake ana amka naye Ila usiku anamtumia text mchepuko Wa wafanye Phone Sex. Huwa mnataka nini hasa
Tunataka papunchi mpya siku zote..!Imekaajee mwanaume ana Mke usiku kuchaa analala na mke wake ana amka naye Ila usiku anamtumia text mchepuko Wa wafanye Phone Sex. Huwa mnataka nini hasa
Hiyo phone sex ni kama punyeto tuu haina tofautiImekaajee mwanaume ana Mke usiku kuchaa analala na mke wake ana amka naye Ila usiku anamtumia text mchepuko Wa wafanye Phone Sex. Huwa mnataka nini hasa