Wanaume mnachotaka nini hasa?

Wanaume mnachotaka nini hasa?

Imekaajee mwanaume ana Mke usiku kuchaa analala na mke wake
Shosti hapo kuna mengi sana mpaka mwanamme anakwenda kwa Mchepuko,sisemi wote wanakwenda au wanawake wote wana makosa ila wengi wanawapa michepuko nafasi kilaini sanaaa, mfano mwanamke huna mda wakuka na mume hata kumuliza siku yako leo ilikuwaje? mume akipiga cm unaongea nae kama mnaugomvi,chakula hata kumpikia mumeo,hata asubuhi kuamka kusema wacha nimpikie mume wangu chai hakuna mume anaamka kwenda kazini wewe ndio kwanzaaaa unamwambia asikuwashie taaa, hujui nguo ya mume ya ndani ilipo.
ukiamka saa4 Asubuhi uko online si wakuoga wala kupiga mswaki mpaka saa7 charge imekwisha ndio unatafuta maji yakuoga, chakula anaejua mnakula nini ni Dada, akipata mchepuko anae mjali japo anajua kama analipa little extra why asiende akatuliza nafsi?
 
Kupendwa, kuheshimiwa,kuthaminiwa ndicho tunacho taka
kikipungua kimoja kinakuzalishia machozi lita 20 wew mwanamke.
mwanamke fanya hayo uone kama kuna mwanaume baunsa kwa mwanamke hapa duniani
 
Sasa kama unashindwa kumpa mchezo, unatarajia nini?
Au unadhani alikuleta kuja kuonana tu.
Tumikeni hadi vitakapopatwa na Expire date.
Upo kwake ili ule vyote, Nguvu ya Pesa yake na Nguvu ya mwili wake.
Ukibana tu, unakuwa umefungulia kwa mwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom