Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Kuna katabia kamezuka sana umu mmu...baadhi ya wanaume wakiona wamekosa vya kupost basii uamua kupost vitu vya kutupondea wanawake ................ivi mnazani maneno yenu ni sheria kwetu????.......embu mtuache tupumue jamani kaaaaaaah
Wakitendwa wanakimbilia hapa kutuponda na kulalamika,wakiachwa wanakuja hapa kulia lia,wakikataliwa wanakuja kuloloma eti wadada hela si mapenzi.Yani kwa kweli sijui wana shida gani hao ambao kila siku thread zao ni wanawake.
Kuna katabia kamezuka sana umu mmu...baadhi ya wanaume wakiona wamekosa vya kupost basii uamua kupost vitu vya kutupondea wanawake ................ivi mnazani maneno yenu ni sheria kwetu????.......embu mtuache tupumue jamani kaaaaaaah
Kwan binadam ana matundu mangap?? Ukinitajia jib utakua ushalipata nataka kupumulia wap
Kuna katabia kamezuka sana umu mmu...baadhi ya wanaume wakiona wamekosa vya kupost basii uamua kupost vitu vya kutupondea wanawake ................ivi mnazani maneno yenu ni sheria kwetu????.......embu mtuache tupumue jamani kaaaaaaah