wabongo bana. kwahiyo mtu akisema anaishi uswazi kwwnye nyumba ya kupanga ndio anaonekana anaishi.maisha yake ya uhalisia!!!! hapa naona utakuwa umemfurahisha mtoa mada.
Daahhhhhh leo kuna Kabaridi aiseeeee........lakini tunashuku Mungu kumekucha salama wapendwa!!!!
Mwisho wa siku ya Ngoswe mwachie..................................................................................!!!!