Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,245
- 2,848
Nimekuwa nikiwaza sana kuhusu wanaume waolifanikiwa kupata wapenzi humu JF kwamba waliwezaje? Na confidence waliitoa wapi? yakuweza kujiamini kiasi hicho.
Nasema hivyo kwa sababu ukijaribu kufatilia michango na maoni ya watu kuhusu masuala ya kimapenzi, kiuchumi na kielimu utabaini ya kwamba kila mtu JF yuko vizuri sana katika nyanja zote hizo.
Mfano; Mapenzi kila mwanaume ni fundi wa kugegeda tena mwenye uwezo wakumaliza dak. 60 kwa bao moja, ukiachana na hivyo wanajisifu wanajua sana mapenzi na taaratibu ya kumwandaa mwanamke ili umegegede afurahie tendo.
Hapo juu ni mfano moja wapo tu, ya majivuno na masifa wanayoyaonyesha wazi wanaume wa JF, ukiachana na habari za kila mwanaume wa JF isipokuwa mimi, wote waliobaki wamesoma hadi chuo, na maisha yao kiuuchumi wako vzr!
Mbwembwe zote hizo ndio zimenifanya leo niwaulize nyie wanaume muliopata wapenzi humu kwamba muliwezaje? maana mimi naona kama sina vingezo hata kimoja kati ya hivyo vyotee.
mfano mimi hutumia dak 5 hadi 8 kufunga bao.!
Nasema hivyo kwa sababu ukijaribu kufatilia michango na maoni ya watu kuhusu masuala ya kimapenzi, kiuchumi na kielimu utabaini ya kwamba kila mtu JF yuko vizuri sana katika nyanja zote hizo.
Mfano; Mapenzi kila mwanaume ni fundi wa kugegeda tena mwenye uwezo wakumaliza dak. 60 kwa bao moja, ukiachana na hivyo wanajisifu wanajua sana mapenzi na taaratibu ya kumwandaa mwanamke ili umegegede afurahie tendo.
Hapo juu ni mfano moja wapo tu, ya majivuno na masifa wanayoyaonyesha wazi wanaume wa JF, ukiachana na habari za kila mwanaume wa JF isipokuwa mimi, wote waliobaki wamesoma hadi chuo, na maisha yao kiuuchumi wako vzr!
Mbwembwe zote hizo ndio zimenifanya leo niwaulize nyie wanaume muliopata wapenzi humu kwamba muliwezaje? maana mimi naona kama sina vingezo hata kimoja kati ya hivyo vyotee.
mfano mimi hutumia dak 5 hadi 8 kufunga bao.!