Wanaume mliooa tulieni na wake zenu

Wanaume mliooa tulieni na wake zenu

Imenichukua muda kabla sijaelewa wallah.....
Nyie wana jf Mungu anawaona haki, maana mmesha anza kuleta habari kama zile za yule mke wa legendary eehhhh...tehh
Acha waseme maneno yote wala sijali mie ndoa sio lazima ,nagurahia kuwa single mama
 
Back
Top Bottom