Wanaume mliooa tulieni na wake zenu

Wanaume mliooa tulieni na wake zenu

Inaelekea huyo mume wa mtu anayekusumbua hana hela ... ukiingia kwenye kumi na nane za mapedeshee hata kupigana utapigana sababu yake .
 
Hapana nipo kawaida tu huyo G yumo humu nampenda tu nae ananipenda basi kanipenda nilivyo
Basi bakia kwenye hiii kawaida ,maana uko nyuma , hukuwa unaona nihatar kutongozwa na mume wamtu ........

Sasa rudisha ile avatar yako ,ndio nzuri iyo uloweka ninzuri ,lkn ile yaawali ilikua bora zaidi.
 
Back
Top Bottom