Wanaume mamwinyi

Wanaume mamwinyi

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,350
Kuna wanaume wanapenda u-mwinyi bwana, yaani anaanza anaenda kuoga wakati anaoga unatandika kitanda na kuweka mazingira ya chumba vizuri. Unakwenda jikoni kuandaa chai, anataka bafuni na taulo kiunoni anatafuta atavaa boxer na kama atakumbuka mafuta basi itakuwa kwenye viganja vya mikono. Taulo atakuachia juu ya kitanda si tatizo lake tena.

Mezzanine umeandaa chai na vitafunio hata kama chumvi haisikiki mfano kwenye mayai atakuita ukachukulie jikoni hapo ni baada ya kuku its umletee maji ya kunawa na tissue ya kujikaushia.

Yaani ameshindwa kabisa kwenda kunywa jikoni au bafuni au kwenda jikoni kuchukua chumvi. Na akimaliza kula hataondoa hata kijiko mezani anaacha kila kitu pale anakwenda kukaa kwenye sofa anaangalia mpira, kusoma gazeti au anachat kwenye simu. Hiyo ni weekend.
 
Sawa wamekuelewa .

Ivi ni
1-hataondoa .
2-hatoondoa.

Nisaidie hapa tu mkuu wengine tumetokea mbali .
 
mwagize sasa wewee salalee.................mbona nyumba utaiona chungu.oooh mwanamke huna haya unamtuma mumeo,
mara ulikotoka hujafunzwa heshima ya mume,oooh wanawake wa siku hizi hamna adabu.
basi tu maneno yatamtoka ilihali mambo mengine kusaidizana.pia ni part ya mahaba

hivi viumbe kuishi navyo yahitajika akili ya ziada
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom