agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,412
Miaka mingi tu....inawezekana.Tokea mwaka gani na kwann?
Ukiona huna kbs upendo ujue hata ww mwnyw hujipendi
Miaka mingi tu....inawezekana.Tokea mwaka gani na kwann?
Ukiona huna kbs upendo ujue hata ww mwnyw hujipendi
Hakuna hizo tamaduniMuulize bibi yako mkuu huenda wakat mdogo walikutupa kwa ngariba.
Miaka mingi tu....inawezekana.
So ukishakuwa na hamu tu lazima utafute mpenzi?Sio rahisi...kama unakula vzr,unavaa unapendeza na unautunza mwili wako hamu ya kuwa na mwenzio itakuja tu
So ukishakuwa na hamu tu lazima utafute mpenzi?
Hata kuamua kutulia tu ni njia mbadalaUnless kama una njia mbadala
Hahaha antena waliitoa nini?Kweli kabisa
Sasa huyu mkewe akitoka atalaumiwa Kweli?Nimebashiri jamaa yako ni huyu hapa pichani. hahahaha
View attachment 951472
Angalia hiyo picha kwanzaasilaumiwe kwa sababu gani za msingi?
Ndo nini?Hahaha antena waliitoa nini?
Si kisi.......?Ndo nini?
😳Si kisi.......?
Haha kama waliking'oa ni haki yako kuwa hivyo ulivyo