kuzeeka wapi mkuu sema labda ni kuishi huku mbali na mijini huku kwetu nikifika toka shabani kuoga kula kitandani mikono yenyewe utazani ni mguu utampapasa vipi!!
ushazeeka tayari...kina zaid ya miaka kumi
Toka nazaliwa sikuwahi kuona Upendo Wa mwanaume toka nakua najua mahusiano sijawahi kuonyeshwa Upendo sasa Mimi nachojua wanaume hawana Upendo niwakatiliBaadhi yenu ndio mlivyo.. Ni wachache mno wako romantic wakiwa kwenye mahusiano.
wanaosalia wote kwenye mapenzi kama wanajeshi wako kambini.. Khaa
Mwanaume muda wote yupo serious mbele ya mpenzi wake hadi kero.. Wengine hata kutumia maneno matamu kama sweet, honey, babe, pumpkin, laaziz hawana hilo kabisa... Yaani basi mpo wote ndani akutekenye kiuchokozi akutanie kidogo wapii!!
Mkitembea wote barabarani humshiki hata mkono.. Sura kavu kama boss kwa mfanyakazi wake... Mkipanda kitandani sasa utaskia "Panua bwana usinipotezee mda wangu" or *Kama hutaki ondoka"..
Hii ndio sababu mojawapo kwanini mnachapiwa ..
Kuwa romantic kunapagawisha mwanamke.. Anajiona yupo kwenye himaya sahihi.. Anajiamini we ni wake tu na umempenda kweli.. Anakuwa huru nawe na pia kukueleza na kukuonyeaha hisia zake..
Mshike mkono mkitembea. Kama unajua kuimba mwimbie nyimbo za kimapenzi..
mdekeze, mbembeleze, hold her hand and tell her ni kiasi gani unampenda na malengo yako kwake..
Mjali kuwa mtaratibu na mbunifu wakati wa tendo nae afurahie (Sihamasishi uzinzi.. Muoane)
Wewe huoni kwemye matamsha ya wanamuziki wa kiume..kama Diamond.. Nsync.. Westlife.. Justin Bieber etc!...
Wadada wanajazana mbele..wanagombania kuwashika mkono.. Trust mi zile nyimbo zenye mchananyiko wa maneno matamu ya kimahaba na sauti ya kiume vinawafanya wapagawe.. Wanalia mpaka wengine wanazimia kwa furaha..
Shauri yako..
Naona umerudiToka nazaliwa sikuwahi kuona Upendo Wa mwanaume toka nakua najua mahusiano sijawahi kuonyeshwa Upendo sasa Mimi nachojua wanaume hawana Upendo niwakatili
Sent using Jamii Forums mobile app
ooh doris wapo...amini wapo na utampata!Toka nazaliwa sikuwahi kuona Upendo Wa mwanaume toka nakua najua mahusiano sijawahi kuonyeshwa Upendo sasa Mimi nachojua wanaume hawana Upendo niwakatili
Sent using Jamii Forums mobile app
ving'asti ndio nux,ukitaka mahusianoBaadhi yenu ndio mlivyo.. Ni wachache mno wako romantic wakiwa kwenye mahusiano.
wanaosalia wote kwenye mapenzi kama wanajeshi wako kambini.. Khaa
Mwanaume muda wote yupo serious mbele ya mpenzi wake hadi kero.. Wengine hata kutumia maneno matamu kama sweet, honey, babe, pumpkin, laaziz hawana hilo kabisa... Yaani basi mpo wote ndani akutekenye kiuchokozi akutanie kidogo wapii!!
Mkitembea wote barabarani humshiki hata mkono.. Sura kavu kama boss kwa mfanyakazi wake... Mkipanda kitandani sasa utaskia "Panua bwana usinipotezee mda wangu" or *Kama hutaki ondoka"..
Hii ndio sababu mojawapo kwanini mnachapiwa ..
Kuwa romantic kunapagawisha mwanamke.. Anajiona yupo kwenye himaya sahihi.. Anajiamini we ni wake tu na umempenda kweli.. Anakuwa huru nawe na pia kukueleza na kukuonyeaha hisia zake..
Mshike mkono mkitembea. Kama unajua kuimba mwimbie nyimbo za kimapenzi..
mdekeze, mbembeleze, hold her hand and tell her ni kiasi gani unampenda na malengo yako kwake..
Mjali kuwa mtaratibu na mbunifu wakati wa tendo nae afurahie (Sihamasishi uzinzi.. Muoane)
Wewe huoni kwemye matamsha ya wanamuziki wa kiume..kama Diamond.. Nsync.. Westlife.. Justin Bieber etc!...
Wadada wanajazana mbele..wanagombania kuwashika mkono.. Trust mi zile nyimbo zenye mchananyiko wa maneno matamu ya kimahaba na sauti ya kiume vinawafanya wapagawe.. Wanalia mpaka wengine wanazimia kwa furaha..
Shauri yako..
Aggy dunia hii hakuna labda dunia nyingineooh doris wapo...amini wapo na utampata!
wengi sana tunaumizwa lakini tuna imani siku tutampata sahihi.
Nakusubil
wapoo..siku utakuja kubadili kauli yako
hahahaaa huu msemo umenikumbusha mbali mno...kweli wanaume mateso.Na nyie mkiomba hela muombe kiromantic pia,
sio utatuma hutumi,kama hutumi niambie!
Mzee mwenzangu naona umechukua siti ya mbele... Au msaidizi wa dereva?Kiuhalisia jamii zetu kimaisha Hatupo romantic na hii ni jadi yetu.
Hata lugha tu kiswahili hakipo romantic. Chukulia kispanish au English, baby I love you, baby I miss you... ina-sound vizuri.
Ndiyo maana huwa mnapenda kutuongelesha vingereza kwa mnaojua.
aggyjay pia kuna wanawake wengi tu hawako romantic... mwanamke hata kudeka kidogo anashindwa
Umeuaaaaaa... Kweli aisee! Yaani hapa hata kama nilitaka kutoa, sitoi.. Yaani sijui wanapata wapi jeuri hii.Na nyie mkiomba hela muombe kiromantic pia,
sio utatuma hutumi,kama hutumi niambie!
Hivi romantic Mpaka uongee kizungu? Kwanini tusitumie lugha zetu za asili..??
Sent using Jamii Forums mobile app