Wanaume kwani lazima???? Kuweni fair

Wanaume kwani lazima???? Kuweni fair

Smile

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
15,347
Reaction score
11,626
inatokea mwanamke unamua zako wkend kama hivi kukaa zako mahali ,maybe ukae zako alone bila bughudha uenjoy, unywe zako mbili tatu,ucheze mziki/usikilize mziki yaani urefresh kwa kifupi kimpango wako.

Sasa ukikaa zako lazima aje mwanaume akuombe kukaa na wewe akumiliki as if umekuja nae. kwani lazima ukiona mwanamke kakaa mwenyewe umfate? unaaza usumbuuufu why lakini? mbona sisi tukiwakuta mmekaa wenyewe hatuwafati bwana?

wengine anakuomba kabisa naomba hata soda moja ukisema poa linakunywa kweli,hata haogopi kununuliwa na mwanamke! daaah tuacheni tupumue? leo natembea na kiwembe
 
Sasa bila mtu kuuliza atajuaje kama upo available au sio available ?, Nadhani njia pekee ni kwenda sehemu ambazo watu ni wastaarabu au ukae kwenye meza ndefu peke yako..., huku unaonyesha sura ya kazi...

By the way hata kina dada ambao wapo kazini wakiona mwanaume upo peke yako lazima watakuja
 
Huwa tunaangalia na mwanamke mwenyewe.
Mwanamke waluwalu anafahamika na wenye staha wanafahamika.
Ukiona mwanaume anakuzoea mara ya kwanza kukuona tu, ujue we ni waluwalu.

Pole kwa yanayokukuta kwenye starehe zako.
 
Sasa bila mtu kuuliza atajuaje kama upo available au sio available ?, Nadhani njia pekee ni kwenda sehemu ambazo watu ni wastaarabu au ukae kwenye meza ndefu peke yako..., huku unaonyesha sura ya kazi...
kama nipo available au sipo available inamuhusu nini mkuu? kila mtu si kaenda kwa starehe zake?
by the way sehemu za kistaarabu ni kama zipi hawaongeleshi mtu maana hapa nazungumzia viwanja vikubwa tu nimeona hii tabia.mtuache tupumue kwanza jamani?
 
teh hii kali hata na soda anaomba anunuliwe? huyo atakua mario sio bure......Nikiwa alone huwa napenda kukaa counter, pale haapana usumbufu ni wewe na glasi yako tu
 
Huwa tunaangalia na mwanamke mwenyewe.
Mwanamke waluwalu anafahamika na wenye staha wanafahamika.
Ukiona mwanaume anakuzoea mara ya kwanza kukuona tu, ujue we ni waluwalu.

Pole kwa yanayokukuta kwenye starehe zako.
waluwalu ndo aje? fafanua?
 
inatokea mwanamke unamua zako
wkend kama hivi kukaa zako mahali ,maybe ukae zako alone bila bughudha
uenjoy, unywe zako mbili tatu,ucheze mziki/usikilize mziki yaani
urefresh kwa kifupi kimpango wako.

Sasa ukikaa zako lazima aje mwanaume akuombe kukaa na wewe akumiliki as
if umekuja nae. kwani lazima ukiona mwanamke kakaa mwenyewe umfate?
unaaza usumbuuufu why lakini? mbona sisi tukiwakuta mmekaa wenyewe
hatuwafati bwana?

wengine anakuomba kabisa naomba hata soda moja ukisema poa linakunywa
kweli,hata haogopi kununuliwa na mwanamke! daaah tuacheni tupumue? leo
natembea na kiwembe

Na mimi najiandaa na kondom nyingi.
 
Tuvumilie tu dadaangu...hiyo ndio socialization..maisha ya upweke sio mazuri..
Wenyewe wanasema it takes one to know one....
Ila pia usisahau once bitten, twice shy!!
 
akija kwenye anga za kuhitaji kuketi unamweleza wazi huitaji mgeni
ukiona analazimisha unamwitia mabaunsa looool
 
teh hii kali hata na soda anaomba anunuliwe? huyo atakua mario sio bure......Nikiwa alone huwa napenda kukaa counter, pale haapana usumbufu ni wewe na glasi yako tu
pale watasema nauza sura
 
inatokea mwanamke unamua zako wkend kama hivi kukaa zako mahali ,maybe ukae zako alone bila bughudha uenjoy, unywe zako mbili tatu,ucheze mziki/usikilize mziki yaani urefresh kwa kifupi kimpango wako.

Sasa ukikaa zako lazima aje mwanaume akuombe kukaa na wewe akumiliki as if umekuja nae. kwani lazima ukiona mwanamke kakaa mwenyewe umfate? unaaza usumbuuufu why lakini? mbona sisi tukiwakuta mmekaa wenyewe hatuwafati bwana?

wengine anakuomba kabisa naomba hata soda moja ukisema poa linakunywa kweli,hata haogopi kununuliwa na mwanamke! daaah tuacheni tupumue? leo natembea na kiwembe

Pole sana huko kwenu mpaka leo mnanunuliana vinjwaji?? na wewe unakahuruma kweli.....sasa kwanini umnunulie jitu lillovaa suruali ulabu???.......wakoloni wananifurahisha kweli unakuta mtu katoka na mke?mume/BF/GF mkifika maeneo ya starehe hamjuani.......
 
Pole sana huko kwenu mpaka leo mnanunuliana vinjwaji?? na wewe unakahuruma kweli.....sasa kwanini umnunulie jitu lillovaa suruali ulabu???.......wakoloni wananifurahisha kweli unakuta mtu katoka na mke?mume/BF/GF mkifika maeneo ya starehe hamjuani.......
noo nilisema ngoja nimuenjoy na krest soda akanywa kweli? nikastaajabu sana
 
kweli kabisa huwa mnakera sana kuharibu starehe zetu, mjifunze ustaraabu ala!
 
Tuvumilie tu dadaangu...hiyo ndio socialization..maisha ya upweke sio mazuri..
Wenyewe wanasema it takes one to know one....
Ila pia usisahau once bitten, twice shy!!
sometimes tunahitaji kuwa peke yetu bwana.mbona nyie hatuwasumbui?
 
Back
Top Bottom