Armani William
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 248
- 734
Wanaume,
-Mwenye kisima hakai foleni kusubiri kuteka maji.
-Epuka kuchumbiana au kulala na mama mwenye mtoto wa mwanaume mwingine.
-Kutoelewana kwao ni kwa muda.
MAANDIKO YANASEMA HIVI;
Proverbs 5:3-14
3 The lips of another man's wife may be as sweet as honey and her kisses as smooth as olive oil,
4 but when it is all over, she leaves you nothing but bitterness and pain.
5 She will take you down to the world of the dead; the road she walks is the road to death.
MITHALI 5:3-14
3 Maana midomo ya malaya hudondoza asali, Na kinywa chake ni laini kuliko mafuta;
4 Lakini mwisho wake ni mchungu kuliko pakanga; Ni mkali kama upanga wa makali kuwili.
5 Miguu yake inatelemkia mauti; Hatua zake zinashikamana na kuzimu;
6 Hata asiweze kuiona njia sawa ya uzima; Njia zake ni za kutanga-tanga wala hana habari.
7 Basi, wanangu, nisikilizeni sasa, Wala msiache maneno ya kinywa changu.
8 Itenge njia yako mbali naye, Wala usiukaribie mlango wa nyumba yake.
MUWE NA WIKIENDI YENYE FANAKA NJEMA
-Mwenye kisima hakai foleni kusubiri kuteka maji.
-Epuka kuchumbiana au kulala na mama mwenye mtoto wa mwanaume mwingine.
-Kutoelewana kwao ni kwa muda.
MAANDIKO YANASEMA HIVI;
Proverbs 5:3-14
3 The lips of another man's wife may be as sweet as honey and her kisses as smooth as olive oil,
4 but when it is all over, she leaves you nothing but bitterness and pain.
5 She will take you down to the world of the dead; the road she walks is the road to death.
MITHALI 5:3-14
3 Maana midomo ya malaya hudondoza asali, Na kinywa chake ni laini kuliko mafuta;
4 Lakini mwisho wake ni mchungu kuliko pakanga; Ni mkali kama upanga wa makali kuwili.
5 Miguu yake inatelemkia mauti; Hatua zake zinashikamana na kuzimu;
6 Hata asiweze kuiona njia sawa ya uzima; Njia zake ni za kutanga-tanga wala hana habari.
7 Basi, wanangu, nisikilizeni sasa, Wala msiache maneno ya kinywa changu.
8 Itenge njia yako mbali naye, Wala usiukaribie mlango wa nyumba yake.
MUWE NA WIKIENDI YENYE FANAKA NJEMA