figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
- Thread starter
- #21
asante mkuu.mia100.
asante mkuu.mia100.
Asante mkuu.tupo pamoja.miaNatamani watu wote wangekuwa wanayatenda wanayoyaongea.
Ahsnte figa ushauri mzuri
pole sana mkuu.lakini ni jukumu la kila mmoja wetu kuhakikisha uhusiano unadumu.shetani tusimpe nafasi katika mahusiano yetu.kudumisha mapenzi ni kazi kubwa yatupasa kupeana moyo.miahahaha wambie hao wenye tabia chafu km hii,wananikera sana hasa waongo,wanaongopea mtu na kumpotezea mda bila ya huruma.
Mkuu asante kwa mchango wako.yatupasa kuwaonesha njia wale waliopotea njia.kumpiga mwanamke ni sawa na kumdhalilisha mama yako.kumbuka yeye ni barafu wa moyo wako na ubavu wako.ndie mtu wa karibu yako ukiumwa.miaasante step-son,im so proud of u! mi huwa namshangaa mwanaume ambaye anampiga mwanamke, tena mpenzi wake. hapo anategemea eti ataomba msamaha na apewe mapenzi? well,sio namshangaa,namdharau!kuna mtu akiona watu ndo kwanza anamdharau mkewe,utadhani atapewa sifa!
play your part.miaAsante kwa kutuwakilisha.... I hope watazingatia....
mkuu asante kwa kutambua mchango wangu.miaAhsante mkuu kwa kuwakilisha