Wanaume kutooa wapenzi wao wa muda mrefu

Wanaume kutooa wapenzi wao wa muda mrefu

rubylove

Senior Member
Joined
Jun 1, 2015
Posts
127
Reaction score
42
Ivi ni kweli kwamba wanaume wengi hawawaoi wapenzi wao wa mda mrefu?

Na matokeo yake kuwaacha na kuoa msichana mwingine

Na sababu huwa ni nini?
 
Mara nyingine hao wanaume wanapigwa kibuti...hivyo wanajikuta wametafuta wenza wapya.
 
Mara nyingine hao wanaume wanapigwa kibuti...hivyo wanajikuta wametafuta wenza wapya.

Nafikir mara nyingi wanakuwa wameishi kama mke na mume kabisa kabla ya kufikia hiyo stage, hivyo wanachokana
 
Kuwa mda mrefu cyo sababu ya kuachana ..ila mnapokuwa mda mrefu mnafahamiana ki undani zaidi..inawapa nafasi ya kuona kama unaweza ku keep up mkiwa kwenye ndoa
 
Kuwa mda mrefu cyo sababu ya kuachana ..ila mnapokuwa mda mrefu mnafahamiana ki undani zaidi..inawapa nafasi ya kuona kama unaweza ku keep up mkiwa kwenye ndoa
achantee.kumbe sio wrote wanaofikiria hivyo.
 
...ngoja niwe msomaji wa comments kabla sijakonkludi😎
 
Ivi ni kweli kwamba wanaume wengi hawawaoi wapenzi wao wa mda mrefu?na matokeo yake kuwaacha na kuoa msicha mwingine.?na sababu huwa ni nini?

Inategemeana na mahusiano yenu mna malengo gani ?. ila kwangu mm nimekaa miaka 7 kwenye mahusiano na ndio nimemuoa huyo huyo.
 
Naweza sema inategemea, Maana kuna mtu alikuwa na mauhusiano na mchumba wake kuanzia 2006 wakiwa o level.... sasahivi ndo wanaendelea na vikao vya maandaliz ya ndoa yao....
 
MKE wangu nilikaa naye kwenye uchumba kwa miaka 6, tangu nikiwa form six, chuo 4 years + mwaka mmoja kazini na leo tumeoana na tunaishi vizuri kabisa.
Ila siku niliyomwambia nataka kumuoa alicheka akidhani masihara na akaniambia kuwa ilikuwa imebaki miezi michache ili aniache na atafute mwanamume muoaji, alinivumulia kwa mengi na alikuwa akinipa huduma stahiki hivyo niliamua kulipa fadhila kwa kumuoa maana ndugu wote wa upande wangu walikuwa wanamjua.

Swala ni kujipanga tu na kuwa na malengo.
 
Back
Top Bottom