Mzee Wa Rubisi
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,757
- 437
Muswada wa katiba mpya wazua mambo zanzibar baada ya washiriki kudai takala.Je wazanzibar wanamdai nani hiyo takala . Pili wamekwenda mbali wanadai katiba ya Tanganyika kwanza.Zaidi wamesema awahutaki muungano.?