Wanaume wanataka wanawake wasio na hela ili wswanyanyase wawafanye watakavyo sababu tu anamtegemea,wawe na michepukooo..sasa ukiwa na mwanamke mwenye pesa utaanzia wapi? Ndo inakuja zana ya kusema wanawake wenye pesa ni wakorofi kumbe wanasimamia haki,,