Wanaume kuogopa wanawake wenye pesa

Wanaume kuogopa wanawake wenye pesa

Kama wasio na pesa tu hawaolew leo ije hao wasio na mahitaji maalum.
Acha nao walisotee penz kama sisi tunavyowagharamia makapuku wenzetu.
Yaan principle ya maisha iko hivi, kama una pesa tafuta penz na kama una penz tafuta pesa
 
Labda wanaume wakichina
Au huelewi maana ya mwanaume?

Halafu dizain kama umechanganya mada ni wanaume au wavulana?
Maana umeanza na wanaume mara vijana!
 
ukiona mwanaume anamuogopa mwanamke sababu amezidiwa pesa,elimu n.k hio ni weakness.
a real gentleman wala hababishwi na hayo anasimama kama mwanaume.
upande mwingine wanawake wenye pesa wengine hudhani kua nazo ni karata tosha ya kumtawala mwanaume n.k ndio maana wengi wao ukiwatazama wanachapwa na wahuni fulani ambao wapo kimaslahi zaidi.
 
Sidhani kama hao wanawake wenye pesa wanaogopwa na wanaume...

Mimi nidhani sisi wanaume hatupendi kunyenyekea mtu kirahisi rahisi...


Automatic mwenye pesa hunyenyekewa, ile kukwepa kunyenyekea inaonekana kama kuogopa...


Cc: mahondaw
 
Awezi kukupelekea maji ya kuoga Bafuni, atakupa papuchi muda anao itaji yeye, kilakitu anajua.
 
Hakuna men anataka aendeshwe na wavaa sketi ata siku moja.
 
Tulivyoanza mimi nlikuwa nazo zaidi yake yaani hata 1/3 hakuwa nazo ilibidi nimfiche baadhi ya vitu nlivyonavyo. Nimemshika mkono sasa anazo hana shida. Japo alikuwa kasoma tu elimu yetu ilikiwa sawa sema alichelewa somewhere. Hadidhi hadithi
 
kigezo kwangu ili niweze kukuseduce lazima uwe mwanamke mwenye kipato!

sasa sijui hao wanaokuogopa unajuaje kama wanaogopa au hawakutaki tu
 
Tulivyoanza mimi nlikuwa nazo zaidi yake yaani hata 1/3 hakuwa nazo ilibidi nimfiche baadhi ya vitu nlivyonavyo. Nimemshika mkono sasa anazo hana shida. Japo alikuwa kasoma tu elimu yetu ilikiwa sawa sema alichelewa somewhere. Hadidhi hadithi
Hadithi njooooo!!!!!!
 
Wanawake wenye pesa wanajiamini, na wanaume wanaogopa wanawake wanaojiamini na ndio huigeuza na kuiita dharau. Na hapo sasa kwakuwa wanawake wanaojiamini wanawaintimidate ndio huanza kutafuta sabau kama za "wana dharau, wanajisikia, wabaya....." na mengineyo.
Tafautisha kati ya kujiamini na dharau,mwanamke mwenye pesa anamadharau mkuu,mm according to my experience wengi hawaolewi sana
Hata wabure sikutaki
 
Embu piga picha tuu mkuuu, mwanamke mzuri ambaye hana kitu anaetegemea mfuko wa mwanaume anavokuwa na nyodo na kuhisi kama alikosea kuolewa nae,
Je ikitokea akawa na hela na uzuri huja automatiki itakuwaje??

Hapa mwanaume aliumbwa ale kwa jasho, sasa ukute mwanamkr kashatoka jasho wewe utafanyeje??

Huwezi kuwa na majukumu mawili mkuu

Kwanza papuchi yenyewe utapewa anapohitaji yale mambo ya kujisikia vema ukinyenyekewa nadhani yatakupita..

Hapo bado we ni mwanaume??
 
hao ndio chaguo langu ...demu huna pesa siwezi kukufuata kwame..... binafsi nitakuchukulia kama mchizi
 
Wapo wenye Pesa Na wanyenyekevu sana
Yaani huwezi amini
 
Back
Top Bottom