bahati mbaya
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 578
- 193
Wana JF naomba tushauriane katika ili. Unakuta mwanaume ana familia mke na watoto wanahitaji matunzo kutoka kwa baba wa familia. Jambo la kushangaza kila ukipita kwenye kona za mjini kwenye vijiwe vya kahawa na magazeti unakuta wanaume wengi wamekaa wakipiga soga za hapa na pale.
Je wanafanya kazi muda gani kwa ajili ya kujiongezea vipato vyao? Mbaya zaidi leo akikaa kona hii kesho ana kaa kona nyingine, anawezaje kukidhi mahitaji ya familia yake kwa utaratibu huu?
Mbaya zaidi wengine unawakuta muda wa kazi na wala sio jioni baada ya saa za kazi.
Naomba kuwasilisha.
Je wanafanya kazi muda gani kwa ajili ya kujiongezea vipato vyao? Mbaya zaidi leo akikaa kona hii kesho ana kaa kona nyingine, anawezaje kukidhi mahitaji ya familia yake kwa utaratibu huu?
Mbaya zaidi wengine unawakuta muda wa kazi na wala sio jioni baada ya saa za kazi.
Naomba kuwasilisha.