Umesikia jana tuu ya Geremi Njitap mchezaji wa zamani wa Cameron na Real Madrid, Chelsea, Newcastle?
Kalea mapacha wasio wake kwa miaka 16,
Hio sio shida kama asingejua, shida imekuja Mama anamletea dharau mbele ya watoto,
Shida inakuja siku atakuja kukufungukia kwa dharau mbele ya watoto kama hivyo...
Mtu kama huyu angejua mapema si angeshaanzisha maisha mapya?
Kaamua kumlipus sasabu ashaona hana cha kupoteza ashamkomba vya kutosha, na jamaa hana options kama zamani.