Lazima huwe na utimamu wa mwili na akili, kuna sehem unatakiwa huweze kuchukua amria haraka n kutekeleza haraka, nguvu zinatakiwa.
Vita sio mnayo ona kwenye game, real life halipo vile
Kuna silaha zina kilo 4_ ku ibeba na kulenga target lazima huwe vizuri, some timez unaweza jikuta siku 4_ hujalala na watakiwa kusonga front, kama mshike mshike hujazoea nin kinafata??
kuna vitu vya kucomment.....mtanzania mwenzangu tafadhali comment picha na maelezo ya aliye toa uzi huu sio jeshu letu.....JWTZ ni kitu kingine otherwise unapenda movie za akina Rambo
kuna vitu vya kucomment.....mtanzania mwenzangu tafadhali comment picha na maelezo ya aliye toa uzi huu sio jeshu letu.....JWTZ ni kitu kingine otherwise unapenda movie za akina Rambo